paul glory
New Member
- Oct 29, 2018
- 1
- 0
Hamna cha umalaya,,,wanawake wanapenda makuu sana. Mngekuwa mnaridhika na hali kama mam zenu mngeolewa fasta.Hakuna muda maalum, vijana wengi wanachelewa kuoa kwa sababu wanapenda kufanya umalaya.
SawaAtleast miaka miwili.
Kwenye uchumba unatakiwa kujua mengi sana kuhusu mpenzi wako na familia yake.
Ujue kuhusiana na background yake, familia yake jinsi inavyoishi kama ni wachawi, makatili.
Unatakiwa ujue magonjwa ya ukoo kama pumu, kifafa n.k
Kwa kipindi kifupi ni ngumu kufahamu yote hayo. Unahitaji muda.
Hamna cha umalaya,,,wanawake wanapenda makuu sana. Mngekuwa mnaridhika na hali kama mam zenu mngeolewa fasta.
sababu kubwa ni hali za kiuchumi za sasa.Hakuna muda maalum, vijana wengi wanachelewa kuoa kwa sababu wanapenda kufanya umalaya.
Kwenye uchawi utajuajeAtleast miaka miwili.
Kwenye uchumba unatakiwa kujua mengi sana kuhusu mpenzi wako na familia yake.
Ujue kuhusiana na background yake, familia yake jinsi inavyoishi kama ni wachawi, makatili.
Unatakiwa ujue magonjwa ya ukoo kama pumu, kifafa n.k
Kwa kipindi kifupi ni ngumu kufahamu yote hayo. Unahitaji muda.
Mhhh sio wadada wa kimjini mjini macho kwenye material things ndio yamekaza kama nini. Mwisho wanaishiwa kuona wanachezewa kumbe mtu anakupima kutokana na ulivyo, kwa wanaume kuoa siku hizi imekuwa mtihani tena mtihani haswa kuna mwaka unaona uanzishe uhusiano utakao kuwa ndoa baadae lakini mwisho wa siku kila unayekutana nae anakukatisha tamaa tuu. Imekuwa mtihani kweli wanawake wenye kiwango cha kuwa Mama wa Familia ni wachache kuwapata ni bahati sana.Upendo na maelewano ndiyo vitu vya mihimu. Nyumba, gari, furniture ni material things.
Mtanguluzeni Mungu, fungeni ndoa hata mkoa za kuishi kwenye chumba mtafika mkiwa na malengo
Miezi 8 hadi miaka 2...inatosha."Mwanini Vijana Hamtaki Kuoa?"
Tumeanza na Swali Sasa Tujadili: Ukiwahi kuoa mara tu baada ya Uchumba Unaweza Kuoa Mtu Usiyemjua Tabia.
Pia Vijana Mkichelewa Sana Mnaonja Asali.?
Tuambie Kipi ni Kipi?
Weeee sikuhizi hakuna waoaji.... Mbona wengine tunadate na watu hawana hata Mia na hatuoni dalili za ndoaHamna cha umalaya,,,wanawake wanapenda makuu sana. Mngekuwa mnaridhika na hali kama mam zenu mngeolewa fasta.