Uchumba unatakiwa usizidi muda gani?

Uchumba unatakiwa usizidi muda gani?

Hi!

Wataalamu wanasema uchumba ukidumu kwa muda mrefu sana kabla ya ndoa basi unaweza kuvunjika hasa ukizingatia huu uchumba wa kuvunja amri ya sita.Pia wengine wanashauri uchumba usiwe wa muda mfupi sana kwani kuna hatari ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia.

Je ni muda gani unafaa kuwa ktk uchumba?Hata Wanandoa karibuni kuchangia


maana najua nyinyi mna experience za kutosha kwani kuna wengine mmepata na wengine wamepatikana.



Mkwe wa malkia wa wingereza alisema we had our relationship 4 nineyears and here we r.. Cku ya harusi yao.. Kinachotuponza cc ni tamaa ya kuonjaonja na kutocmamia mahali pamoja... Kuna MTU ninamjua wamekaa 10 yrs na sasa ndo tunapigika na vikao vya harusi yao.. August mwaka huu.. km hauamini nipm ntakupa no ya mmoja wao u just kol ask them... Waliwezaje nanyi mshindweje ... Comeon...
 
Sasahivi hakuna uchumba wala nini. Ni kudanganyana tu ndo kumeshika kasi ya ajabu. Muda wa kukaa ktk Uchumba unaishia pale ambapo kudanganyana huishia na si vinginevyo. Kama mmekubali kudanganyana niaka 5,7, au 10 danganyaneni tu.

Ishinde hiyo frustration.
 
wataalam wanasema uchumba mzuri kabisa ni ule unaochukua kati ya siku 1 hadi miaka 268, kutegemea jinsi ULIVYORIDHIKA na KUJIAMINISHA juu ya mchumba wako.
Uchumba ukizidi miaka 268 ujue kuna tatizo.
Uchumba ni wewe unavyomjua na kumwamini yeye.
 
As for me, uchumba si kitu chepesi kama wanvyochukulia hawa vijana wa dot com, uchumba ni zao la urafiki mzuri kati ya wapendao, urafiki ambao kila moja amemridhia mwenzake baada ya kuchunguzana na hatimaye kupeana ahadi ya kuoana na hapo ndio uchumba unakuja na pete ya uchumba inavikwa kw wale wenye utaratibu huo, ktk uchumba ndio stage ambayo wazazi wapande zote wanajulishwa na maandalizi ya ndoa yanafuatia, safari ya uchumba kwenda kwenye ndoa inategemea na wahusika wenyewe jinsi walivyojipanga na wanavyopenda ndoa yao iweje iweje. Kwa makubaliano ya pande zote mwanamke na mwanamme kwa pamoja watapanga lini wameremete. Bainafsi nilikaa ktk urafiki na mwenza wangu for about 8 years,mwaka wa tisa nikamvika pete na mahali yake kabisa nikatoa then after months tukameremeta, ,,, yupo pia rafiki yangu ambaye alipata rafiki na wadumu kwa miezi saba, mwezi wa nane kamvika pete ya uchumba na mwezi wa kumi walimeremeta. Hivyo basi kwa mifano hiyo michache unaweza kuona ni jinsi gani wahusika wenyewe wanavyoweza determine lini mwisho wa urafiki, lini mwisho wa uchumba na lini wafunga ndoa, sidhani kama kuna kanuni , sheria wala principle inayoguide lini mwisho wa urafiki,uchumba. Kwa kumalizia tu, vijana wa sasa hivi wao wanaruka stage ya urafiki ambayo ndio nafasi ya kuchunguzana kabla ya kuahidiana kuoana(uchumba), wao wanaanza na ahadi ya kuoana( uchumba) moja kwa moja matokeo yake baada ya mda mapungufu wanayoona kati yao wanashindwa kuvumilia na kuumizana mioyo yao. KWA HIYO, NWASHAURI VIJANA WAPITIE STAGE ZOTE WASIKURUPUKE OTHERWISE MAJERAHA YA MAPENZI YATAZIDI KADRI SIKU ZIENDAVYO
 
wataalam wanasema uchumba mzuri kabisa ni ule unaochukua kati ya siku 1 hadi miaka 268, kutegemea jinsi ULIVYORIDHIKA na KUJIAMINISHA juu ya mchumba wako.
Uchumba ukizidi miaka 268 ujue kuna tatizo.
Uchumba ni wewe unavyomjua na kumwamini yeye.

Inawezekana mimi ndio sijui kiswahili miaka 268?
 
ushauri muhimu.

uchumba mzuri angalau miaka 2 at maximum.but there is no minimum time.it can take even 6 months or 1yr....but it is recommended to study your partner for at least 2yrs b4 marriage.
 
miez 6 mpaka mwaka inatosha. sio mtu umvishe pete akae weeeeeeeeee mpaka ipauke, ila urafiki hauna kipimo hata miaka 20 sawa tu.
 
Hapa wachangiaji wengi tupo kwenye style ya kizungu tu,
Tuzungumzie uchumba wetu wa kiafrica ambao wazee wetu walipitia,nina hakika enzi za wazee wetu hapakuwa na style hii ya uchumba mnakaa mnazaa,halafu mnakuja kuowana,
Wao walipoona flani anafaa kuwa mke au mume basi taratibu za wazee zilifuata bila kupoteza muda wala kugegedana kwanza, ndio sababu mpaka leo baadhi ya wazee wetu wengi bado wanaishi pamoja yaani mpaka wanazeeka pamoja,
Sisi wazungu wenye kujua kuchagua wenye kujua uchumba kumaliza miaka 2 kwenye ndoa mtihani,nadhani uchumba wa zamani ulikuwa ni bora zaidi ya sasa.

mkuu uchumba huo wa kuoa kabla ya kugegedana uliwezekana zamani,maana hata mabinti walikua mabikra mpaka siku anaolewa,sasa hawa wa siku hiz,unakuta ashatumika,so inabid uhakikishe je mali bado inafaa kwa matumiz ya binadamu?usije ukaoa kopo
 
Wakuu... Ndoa inatakiwa kufungwa muda gani baada ya mahari????
 
wataalam wanasema uchumba mzuri kabisa ni ule unaochukua kati ya siku 1 hadi miaka 268, kutegemea jinsi ULIVYORIDHIKA na KUJIAMINISHA juu ya mchumba wako.
Uchumba ukizidi miaka 268 ujue kuna tatizo.
Uchumba ni wewe unavyomjua na kumwamini yeye.

miaka 268 duu hii kali
 
Wakuu... Ndoa inatakiwa kufungwa muda gani baada ya mahari????

My dear siku hizi naona ndoa zinafungwa kuanzia miezi 3 after kutoleana mahari na kuendelea hadi miezi 6 na hiyo miezi 6 labda kuwe kumetokea tatizo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
My dear siku hizi naona ndoa zinafungwa kuanzia miezi 3 after kutoleana mahari na kuendelea hadi miezi 6 na hiyo miezi 6 labda kuwe kumetokea tatizo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ok asante...
 
Ni miaka 268, maana yake ni muda wowote katika maisha yako, kutegemea vigezo utakavyojiwekea (kibinadamu). Hakuna 'muda unaofaa'.
Mfano, for a lady, inawezekana akajiwekea miezi 6, lakini mwezi wa 7 akagundua jamaa ana wake 4, na hataki kuolewa na mtu mwenye ndoa tayari.
... and we only live 70 years (+ or-)
 
Kifupi hakuna "formula" muda mfupi kwa hawa ni muda mrefu kwa wengine.
 
Back
Top Bottom