Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,447
- 8,698
Chukua mda mrefu, narudia tena "mda mrefu" , ukiamua kuoa ama ufupishe maisha au uongoze maisha uliyepangiwa na Mungu. Kosea kujenga nyumba lakini sio kuoa.
Wanawake wana taka mwanaume ambaye tayari ana fedha, ndinga Kali kama una itabid uwe baharia hakuna namnaMpaka kijana atapoweza kumiliki maisha vizuri. We unaoaje huna nyumba na gari mangi? Usiwatafte lawama mabinti wa kimjinimjini...hakikisha una chenchi za kuwapeleka bata weekend kisha ndio uoe.
Nimependa hii...anyway umechumbiwa ?Upendo na maelewano ndiyo vitu vya mihimu. Nyumba, gari, furniture ni material things.
Mtanguluzeni Mungu, fungeni ndoa hata mkoa za kuishi kwenye chumba mtafika mkiwa na malengo
🤔🤔🤔Weeee sikuhizi hakuna waoaji.... Mbona wengine tunadate na watu hawana hata Mia na hatuoni dalili za ndoa
Mmhh mbona wapo wanawake wanaovumilia na wanaachwa vile vile?? Wanaume wala hamjui mnataka nini!!Hamna cha umalaya,,,wanawake wanapenda makuu sana. Mngekuwa mnaridhika na hali kama mam zenu mngeolewa fasta.
Sasa mbona wapo wanaume wenye hizo 'hali za kiuchumi za sasa' na wanaoa??sababu kubwa ni hali za kiuchumi za sasa.