Hi!
Wataalamu wanasema uchumba ukidumu kwa muda mrefu sana kabla ya ndoa basi unaweza kuvunjika hasa ukizingatia huu uchumba wa kuvunja amri ya sita.Pia wengine wanashauri uchumba usiwe wa muda mfupi sana kwani kuna hatari ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
Je ni muda gani unafaa kuwa ktk uchumba?Hata Wanandoa karibuni kuchangia maana najua nyinyi mna experience za kutosha kwani kuna wengine mmepata na wengine wamepatikana.
Wataalamu wanasema uchumba ukidumu kwa muda mrefu sana kabla ya ndoa basi unaweza kuvunjika hasa ukizingatia huu uchumba wa kuvunja amri ya sita.Pia wengine wanashauri uchumba usiwe wa muda mfupi sana kwani kuna hatari ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
Je ni muda gani unafaa kuwa ktk uchumba?Hata Wanandoa karibuni kuchangia maana najua nyinyi mna experience za kutosha kwani kuna wengine mmepata na wengine wamepatikana.