DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Unatakiwa ukatae hizo pilika pilika kwa sababu huzipendi sio kwa sababu akiba haitoshiHuyo mzee wake namkubali kwa 100%
Kuhangaika na sherehe za harusi Hakuna Maana Wala mantiki yoyote, Ni uupuzi tu kwangu!!
Hata Mimi nikifika hatua ya kuoa Basi sitahangaika na upuuzi wa sherehe
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Mkuu unaweza kuwa uoifanya vyema Kama ulimpa nafasi ya kuelewa matakwa yako
Ndoa na harusi ni vitu viwili tofauti.
Kuna mabinti lengo lao kuingia ktk NDO ni wanataka HARUSI tu, na sio hilo agano lenyewe la ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mawazo au hali ya kupenda vitu vya gharama/vya show off sijui kwa nini mara nyingi huwa wanakuwa nayo watu ambao hata vipato vyao ni vya kulenga kwa manati.Ukute mwenzie kasubiri ndoa na alikua anaipigia picha ndoa flani hiviii halafu Leo umwambie hamna sherehe weeeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilioa mwaka jana nikaulizwa unataka kuoa vipi nikajibu nataka kufunga ndoa hizo mbwembwe nyingine sizitaki wanandugu walinilaumu sana kwamba kwanini sitaki harusi ila nilisimamia msimamo wangu na ndoa ilipita na tuna ani nzuri sana na mke wangu, mwakani kuna dogo anaoa hapa watu ndo wanakumbuka umsimamo wangu maana hiyo kazi ya kupiga simu kukumbushia michango plus mizunguko wenye shughuli wanajutaHuyo mzee wake namkubali kwa 100%
Kuhangaika na sherehe za harusi Hakuna Maana Wala mantiki yoyote, Ni uupuzi tu kwangu!!
Hata Mimi nikifika hatua ya kuoa Basi sitahangaika na upuuzi wa sherehe
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Mkuu ushauri wa Mshauri wa ajabu unaeleweka,huwa haupapasi Ni kweli tupu,wengi hautuipendi kweliMkuu hujapmba ushauri kwa MSHAURI WA AJABU YAANI "Jesus"
Mbona wewe ni CarloJesus ?
Omba upate mwenye akili kama zako, mama yako kama yupo akuelewe, ndugu zako wakuelewe na upande wa mke waelewe. Hata mm naona ni upuuzi kufanya sherehe.Huyo mzee wake namkubali kwa 100%
Kuhangaika na sherehe za harusi Hakuna Maana Wala mantiki yoyote, Ni uupuzi tu kwangu!!
Hata Mimi nikifika hatua ya kuoa Basi sitahangaika na upuuzi wa sherehe
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Nataka kuvaa lile gauni jeupe tu [emoji85][emoji85]Unaweza kutupa sababu?
All you need is love
Beg party ni tofauti na harusi, mzee.Mkuu tusiwashambulie mabinti tuu ...wako wanaume pia hi kitu wanaipenda...yaani harusi,kwani hujasikia kuhusu beg party (sijui Kama nimepatia,[emoji3])
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ushauri wa Mshauri wa ajabu unaeleweka,huwa haupapasi Ni kweli tupu,wengi hautuipendi kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mbona nimevuka hiyo siku nyingi sanaWako wengi wanaokua na misemo(bila hiki mimi siolewei) kama yako,saa ikianza kusoma 36 na kuendelea wengine wanafikia hadi kutaka mtoto kwa yeyote tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alijua kabisa maana ilishapita ya kwanza akalilia nikamwelezea kuwa sipend na hainahaja ya party nikamwambia tuta toka diner na ikaishaMkuu unaweza kuwa uoifanya vyema Kama ulimpa nafasi ya kuelewa matakwa yako
Sent using Jamii Forums mobile app