Uchoyo na ubinafsi uliopitiliza

Uchoyo na ubinafsi uliopitiliza

Kuna njia za Kiasili cha kuweza kuipata ...! Nifanye mambo uko tayari?
Hahaha! Mkuu, Nahitaji namba, wewe nipatie namba, Nimekuelewa unachomaanisha ila uelewe avatar yangu sikuiweka kimakosa. See it in a bigger picture, they call it, thinking outside the box!
 
Ngoja niendelee kuhesabu haya malalamiko ya ndoa

Huyu jamaa sijui amenifurahisha ama amenihuzunisha aisee. Hiki ni kituko cha mwaka. Badala aingize yote Yeye anaishia nusu. Akinyimwa papuchi lawama kibao
 
Wanaume wengi washaishiwa nguvu za kiume,ndio maana wanakua hawana hamu,au Ana michepuko nje akipiga magoli akirudi home hamu haipo,
 
Kuna watu wanaitisha vikao vya kulalamikia ukosefu wa tendo la ndoa kwenye ndoa?

Ama kweli watu tumetofautiana.

Hivi mtu unaanza anzaje hata kuyazungumzia masuala yako ya chumbani na mwenza wako kwa watu wengine?

Scratchin' my head!!!!

Juzi kuna mdau mmoja alisema, kama mtu hawezi kutunza siri za chumbani, hata maeneo yake ya siri hawezi kuyatunza.
yaani hata mimi huwa sielewi kabisa, na haijawahi kunikaa nikaelewa kuwa mtu unaanzaje kwenda kuita watu na kuweka kikao kuwa unanyimwa dushe. this is very low na kutojitambua.
ninachoamini, "hakuna mkate mbabe mbele ya chai - hakuna mwanaume mbabe mbele ya mwanamke; you only need to know when to press and play which button",
sasa hawa wanawake bana, wanawaza kuwa mwanaume ni kama wao, au they treat'em like sex machines, hell noooo!
 
Bila ya shaka yeyote huyo mtu atakuwa na matatizo ya akili akapimwe sijawahi kusikia habari kama hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom