Uchoyo na ubinafsi uliopitiliza

Uchoyo na ubinafsi uliopitiliza

wanaume wanatesa sana wake zao kwenye ndoa, haswa kwenye suala la tendo la ndoa
Si kweli... kwingineko wanawake wamekuwa wachoyo sana kwa waume zao... ni kama pande mbili za shilingi moja
 
Kuna nyakati unajikuta Kama vile dunia imesimama kwa muda
Mkuu acha kabisa, kisa kifananacho na hicho kimetokea nikiwa mshauri mualikwa mbele ya mama mkwe. I see niliaibika balaa, vile mwanaume mwenzangu analalamika kunyimwa unyumba. Ukizingatia watu wa bara tulivyo na adabu+aibu kwa wakwe, ilinibidi nikae kimya pasi kuchangia lolote.
 
Mkuu acha kabisa, kisa kifananacho na hicho kimetokea nikiwa mshauri mualikwa mbele ya mama mkwe. I see niliaibika balaa, vile mwanaume mwenzangu analalamika kunyimwa unyumba. Ukizingatia watu wa bara tulivyo na adabu+aibu kwa wakwe, ilinibidi nikae kimya pasi kuchangia lolote.
Huwa ni nyakati ngumu mno kwakweli
 
Ck za mwsh kabsa HIV issue ya chumbani kwa ajili ya watu wawili inageuka kikao


Miniti zinakuwepo agenda na engineyo eeeh Mungu
 
Hapo ningekuwa mi ndo msuluhishi..Ningeangua kicheko tu na kuondoka
 
Atumie mdoli kwan kuna ubaya gani? Mambo ya chumbani yanapelekwa uwanjani? Loh
 
Wanaume wamezidi michepuko.....na kila mchepuko unataka goli 3 na kuendelea unadhani akirudi nyumbani iinakuwaje..... ? Na vyakula vyenu chips kuku ndo kabisa

Sasa hivi sina mpango wa kuingiza yote kwani utafaidi sana!
 
Nadhani tatizo wanaume tunatumika sana" kazi zimekua nyingi mpaka tunashindwa kujigawa mtuvumilie tu
 
Atumie mdoli kwan kuna ubaya gani? Mambo ya chumbani yanapelekwa uwanjani? Loh
Niingie ulemavu kwaajili yake?hapana nikoradhi tuachane aendelee na ujinga wake na niendelee na wenye mbavu
 
1452889111019.jpg
 
Watu wanatofautiana kikao kimoja pale kwa kabuma mtoni kwa Aziz Ally mwaka juzi mwanamke bila haya alisema mbele ya kikao kuwa mumewe anapenda kuruka ukuta (yeye alitumia neno baya zaidi) baadhi ya watu waliondoka kwenye kile kikao... Kuna watu wamepinda kuliko upinde
Aisee mfano kuna wazazi hapo unadhani utajisikiaje? maana hata ukweni hutakwenda kuwasabahi kwa kuona aibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom