Hapo kwenye rangi ya CCM mbona ckuelewi au umekuja kutafuta support ya waimba TAARABU wenzio?
Ila ni kweli hawa CDM wabaya sana walichochea hata wanafunzi wa `FOMU FOO` wakafeli akiwemo MWANAASHA.Kana kwamba haitoshi wakatenda kosa kubwa zaidi kuwashawishi wanaArusha wasiwachague ktk UDIWANI NA UBUNGE KULE ARUMERU.KALI KULIKO YOTE WAKAMSHAURI MKULU NA CHAMA CHAKE WASITIMIZE AHADI ZAO ZA TANGIA 2005-HADI LEO.WANAMJUA KINANA NDIYE UNPROFESSIONAL DENTISTS WA NDOVU WAKAISHIA KUMTAJA BILA KUMFIKISHA MAHAKAMANI!SLAA NA MBOWE NDIYO VINARA WA UBAYA WOTE KWANI HATA WAKIAMBIWA WAJITOE CDM WAJIUNGE CCM WANAKATAA!!!CDM WAMESHINDWA KUMWAJIBISHA ALIYESEMA ...WAPIGWE TU!
KHAAAAA!!! YAAN NILIKUJA SPEED YA 360 KUMBE NDIO HIKI UMEANDIKA??!!! HIVI WE NI MTANZANIA AU NI MUAMIAJI KUTOKA SOMALIA N.K..? UMEANDIKA MAMBO YA AAAAAJUBU AMBAYO HATA Ritz na genge lake hawayajui...kweli viraka hawaishi..
KHAAAAA!!! YAAN NILIKUJA SPEED YA 360 KUMBE NDIO HIKI UMEANDIKA??!!! HIVI WE NI MTANZANIA AU NI MUAMIAJI KUTOKA SOMALIA N.K..? UMEANDIKA MAMBO YA AAAAAJUBU AMBAYO HATA Ritz na genge lake hawayajui...kweli viraka hawaishi..
Na keshokutwa tarehe 23/6/2015 wako kwenye maandalizi ya kuwachochea madereva wa nchi nzima kuitisha mgomo!!..
Na tangu wiki iliyopita "mmewachochea wamiliki wa vyombo vya usafiri" wa Tanzania ambao wengi ni makada wa CCM waache kuhudhuria mkutano uliondaliwa na "serikali ya CCM" ukiwahusisha madereva ili kutatua mgogoro wa madereva wanaolilia maslahi bora pamoja mikataba ya kazi.
CHADEMA acheni hizo bhaaaana.............na sijui mnataka wananchi waichukie serikali yao na kuinyima kura CCM mwezi oktoba siyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.