'Uchochezi' wa CHADEMA umefikia kubaya...

'Uchochezi' wa CHADEMA umefikia kubaya...

pia umesahau walimchochea waziri mkuu kulidanganya bunge kuhusu mauaji ya arusha. pia walichochea meri ya msomali kinana kuiba na kupeleka meno ya tembo china aisee hawa chadomo balaa
 
Wanamchochea JK jana kushindwa kuhutubia taifa kwakukosa hoja na aibu...

CCM HOYEEEEEEE.
 
Huu ni mtazamo wa wavvu wa kufikiri, na umethbitisha hapa jamvini kuwa ww n mvivu wa kufikiri Mwalimu tangu 2007 walitishia kugoma, madaktar tangu 2001 wanagoma. Je ilikuwa ni chadema au kwa sababu chadema wamevunja ngome za magamba. Au n wafanyakazi kuchoka dhuluma kwa sababu wakubwa wanafaidika wao wanaumia.

Hujamwelewa soma vizuri na utafakari.
 
'mlichochea' kina mgaya yakapita
'mkachochea' wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
'mkachochea' wamachinga wa mbeya mkayamaliza
'mmechochea' wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa 'kuchochea' waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!

Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!

hebu ona sasa haya ya uamsho na shekh Ponda!

Bi Uda,

Naona unawashwa kwa hiyo unahitaji mkunaji wa nguvu ambaye ni Sharobaro!!!
Yote uliyoandika hapa ni kuonyesha jinsi gani hujapata doze ya mwasho wako. Kwa sisi masharobaro tunasema hivi hoja zako ni mfu. Hivi wewe kwa akili yako ya kuwashwa unategemea CHADEMA, chama cha kidini kinachoongozwa tena na Padre aliyehasi kanisa KIWASHAWISHI WAISLAMU KUGOMEA SENSA kweeli????Huo ni mwasho wa kwanza!

Mwasho wa pili unakuja pale unapodai kuwa CDM wanahusika na migomo yote ya Vyuo,Wamachinga,Madaktari,Waalimu na Wakulima wa korosho.Huu ni uongo ulio dhahiri!!!

Je,vipi kuhusu hili la GESI YA NTWARA??Je,CDM alienda kuwahamasisha Wamakonde wagomee GESI ASILIA YAO???Kumbuka kuwa Mbunge wa CCM jimbo la Mtwara mjini alikuwa mstari wa mbele katika sakata hili la Gesi asilia! Je,tusema naye kesha hamia CDM???Vipi kuhusu migomo ya Wafanyakazi kuhusu Mifuko ya Pensheni,Vipi kuhusu migomo ya watu wa Bodaboda,n.k.na n.k???

Bi Uda, hebu acha hizo porojo za kujionyesha wazi kabisa kwamba unawashwa na unataka.......!Kumbuka kwa sasa Watanzania wameshajitambua. Wewe na Mabwana zako wa CCM jueni kabisa kwa sasa mna-deal na Watanzania wa karne mpya, Watanzania ambao wanajua nini kinafanyika wapi,saa ngapi na kwa faida ya nani!! Sahau mambo ya enzi za ujima. Sasa ni kizazi cha dot.com, vijana wanacheza na dunia ikiwa kwene fingertips! Leo ukiiba Dhahabu,Almasi, Pembe a ndovu,Wanyama pori au Gesi asilia, kila mtu atajua na atakuubua tu!!!

Pole sana bi Uda! Kajipange upya,maana katika hili umechemsha!
 
  • Thanks
Reactions: Uda
kote huku mkono wa chadema!

Umesahau mengine kama:
CDM wanachochea pia kushuka kwa shilingi,
CDM wanachochea vyakula kupanda bei,
CDM wanachochea matumizi mabaya ya serikali
CDM wanachochea CCM kuendelea kulala kitanda kimoja na mafisadi,
CDM wanachochea CCM kuwa na makundi kuelekea 2015
CDM wanachochea polisi kuuwa kama ilivyotoke kwa Daudi Mwangosi

Ngoja mengine nimeandika kwenye diary nitayaleta baadaye

Hii CDM haifai kabisa Dadangu,ina mkono mrefu sana, inashirikiana na usalama wa Taifa kuwang'o meno wale wote wanatetea haki zao na za wananchi. Ona CDM walivyomfanya Dk.Ulimboka. Shame on you CHADEMA!!!. Hawa CDM wameongoza nchi kwa miaka 5 tu lakini sasa inawaka moto. Na 2015 sitawapigia kura basi!!
 
Wamechochea MwanaHalisi likaandika kuwa mfanyakazi wa Ikulu alihusika utekwaji wa Dr Ulimboka.
 
Uda,

Nikupongeze sana kwa kuliona hili.
Ni kweli kabisa sera za CDM ambazo wewe unaziita "uchochezi" zinaonekana kufanikiwa kwa kiasi kikubwa.Kwamba sasa Watanzania wameanza kuzielewa sera za CHADEMA na kuzikubali. M4C sasa imeanza kufanya kazi na haya ndiyo matokeo yake. Bila shaka mpaka kufikia 2015.
 
Ubongo wa binadamu una uwezo mkubwa sana wa kufikiri.
Ubongo una uwezo wa hali ya juu wa kutoa majibu ya changamoto mbali mbali iwapo utautumia vema.
Ukiutumia vizurI, ukafikiri kwa usahihi, utakupa majibu sahihi. Ukiutumia vibaya, kwa uvivu na kutofikiri, utajitungia majibu yako.

Kwa utangulizi huo mfupi, Uda, ashauriwe kufikiri kwa usahihi.

Badala ya kutoa majibu ya changamoto, anatafuta wa kumlaumu! Kweli, haiwezekani kufikiri zaidi ya hapo?
 
Masaburi at Work.Kumbe na Zile Pembe za Ndovu walichochea CHADEMA mungu wangu vp Kagasheki na Amani nako kuna mkono wa CHADEMA.

Dada kampikie Husband chakula cha Jioni usije ukaachika House akipika chakula kibovu.

Hiv Husband wako anatumia zile bidhaa za Ilala?
 
tubadilike; Nimeipenda sana post yako! Hawa mafisadi sijui wanaona nyakati iliyopo ni ya miaka ya 72 mi sijui!
Natamani 2015 iwe kesho!
Na wajue kilichomnyoa kanga ndege manyoa ya shingo.

Kudadeki!


Umesahau mengine kama:
CDM wanachochea pia kushuka kwa shilingi,
CDM wanachochea vyakula kupanda bei,
CDM wanachochea matumizi mabaya ya serikali
CDM wanachochea CCM kuendelea kulala kitanda kimoja na mafisadi,
CDM wanachochea CCM kuwa na makundi kuelekea 2015
CDM wanachochea polisi kuuwa kama ilivyotoke kwa Daudi Mwangosi

Ngoja mengine nimeandika kwenye diary nitayaleta baadaye

Hii CDM haifai kabisa Dadangu,ina mkono mrefu sana, inashirikiana na usalama wa Taifa kuwang'o meno wale wote wanatetea haki zao na za wananchi. Ona CDM walivyomfanya Dk.Ulimboka. Shame on you CHADEMA!!!. Hawa CDM wameongoza nchi kwa miaka 5 tu lakini sasa inawaka moto. Na 2015 sitawapigia kura basi!!
 
Last edited by a moderator:
wamechochea kununua rada mbovu na ndege mbovu ya rais, wamechochea jk kuongeza mke wa pili, wamechochea mfumuko wa bei, wamechochea riziwan kuwa bilionea wamechochea kuvunja azimio la arusha, wamechochea sokoine kuuawa, babu sea kufungwa, cdm kiboko
 
chadema imedidimiza elimu kwa kuanzisha shule za kata na kuzuia maji yasitoke ubungo
 
mpaka 2015 tutasikia na kuona mengi juu ya 'uchochezi' huu wa chadema.
 
Bi Uda,

Naona unawashwa kwa hiyo unahitaji mkunaji wa nguvu ambaye ni Sharobaro!!!
Yote uliyoandika hapa ni kuonyesha jinsi gani hujapata doze ya mwasho wako. Kwa sisi masharobaro tunasema hivi hoja zako ni mfu. Hivi wewe kwa akili yako ya kuwashwa unategemea CHADEMA, chama cha kidini kinachoongozwa tena na Padre aliyehasi kanisa KIWASHAWISHI WAISLAMU KUGOMEA SENSA kweeli????Huo ni mwasho wa kwanza!

Mwasho wa pili unakuja pale unapodai kuwa CDM wanahusika na migomo yote ya Vyuo,Wamachinga,Madaktari,Waalimu na Wakulima wa korosho.Huu ni uongo ulio dhahiri!!!

Je,vipi kuhusu hili la GESI YA NTWARA??Je,CDM alienda kuwahamasisha Wamakonde wagomee GESI ASILIA YAO???Kumbuka kuwa Mbunge wa CCM jimbo la Mtwara mjini alikuwa mstari wa mbele katika sakata hili la Gesi asilia! Je,tusema naye kesha hamia CDM???Vipi kuhusu migomo ya Wafanyakazi kuhusu Mifuko ya Pensheni,Vipi kuhusu migomo ya watu wa Bodaboda,n.k.na n.k???

Bi Uda, hebu acha hizo porojo za kujionyesha wazi kabisa kwamba unawashwa na unataka.......!Kumbuka kwa sasa Watanzania wameshajitambua. Wewe na Mabwana zako wa CCM jueni kabisa kwa sasa mna-deal na Watanzania wa karne mpya, Watanzania ambao wanajua nini kinafanyika wapi,saa ngapi na kwa faida ya nani!! Sahau mambo ya enzi za ujima. Sasa ni kizazi cha dot.com, vijana wanacheza na dunia ikiwa kwene fingertips! Leo ukiiba Dhahabu,Almasi, Pembe a ndovu,Wanyama pori au Gesi asilia, kila mtu atajua na atakuubua tu!!!

Pole sana bi Uda! Kajipange upya,maana katika hili umechemsha!

punguza jazba,naona ningekuwa mbele yako ungenifinyanga kweli kweli mwe!
MKUNAJI NINAYE ANANITOSHA!
 
Bado chadema hawajaacha uchochozi, wamewachochea CCM mpaka wamesusia mdahalo wa leo
 
haha nilidhani mleta mda ni replay ya santuri ya miaka ile CCm walipokuwa hawaamini kuwa Honey Bagder anaweza wageuza lunch sasa yoyote.

Nani alikuwa napitia santuri na kutest moja yenye haya maneno?
 
umesahau pia kwamba CHADEMA wamemchochea Kagame kutamka maneno makali dhidi ya Jk.
 
Bi Uda,

Naona unawashwa kwa hiyo unahitaji mkunaji wa nguvu ambaye ni Sharobaro!!!
Yote uliyoandika hapa ni kuonyesha jinsi gani hujapata doze ya mwasho wako. Kwa sisi masharobaro tunasema hivi hoja zako ni mfu. Hivi wewe kwa akili yako ya kuwashwa unategemea CHADEMA, chama cha kidini kinachoongozwa tena na Padre aliyehasi kanisa KIWASHAWISHI WAISLAMU KUGOMEA SENSA kweeli????Huo ni mwasho wa kwanza!

Mwasho wa pili unakuja pale unapodai kuwa CDM wanahusika na migomo yote ya Vyuo,Wamachinga,Madaktari,Waalimu na Wakulima wa korosho.Huu ni uongo ulio dhahiri!!!

Je,vipi kuhusu hili la GESI YA NTWARA??Je,CDM alienda kuwahamasisha Wamakonde wagomee GESI ASILIA YAO???Kumbuka kuwa Mbunge wa CCM jimbo la Mtwara mjini alikuwa mstari wa mbele katika sakata hili la Gesi asilia! Je,tusema naye kesha hamia CDM???Vipi kuhusu migomo ya Wafanyakazi kuhusu Mifuko ya Pensheni,Vipi kuhusu migomo ya watu wa Bodaboda,n.k.na n.k???

Bi Uda, hebu acha hizo porojo za kujionyesha wazi kabisa kwamba unawashwa na unataka.......!Kumbuka kwa sasa Watanzania wameshajitambua. Wewe na Mabwana zako wa CCM jueni kabisa kwa sasa mna-deal na Watanzania wa karne mpya, Watanzania ambao wanajua nini kinafanyika wapi,saa ngapi na kwa faida ya nani!! Sahau mambo ya enzi za ujima. Sasa ni kizazi cha dot.com, vijana wanacheza na dunia ikiwa kwene fingertips! Leo ukiiba Dhahabu,Almasi, Pembe a ndovu,Wanyama pori au Gesi asilia, kila mtu atajua na atakuubua tu!!!

Pole sana bi Uda! Kajipange upya,maana katika hili umechemsha!

nyongeza mh, mwamnbie pia vip kauli ya pinda ya pigen tu;; ni ya cdm?
 
Back
Top Bottom