'Uchochezi' wa CHADEMA umefikia kubaya...

'Uchochezi' wa CHADEMA umefikia kubaya...

Huu ni mtazamo wa wavvu wa kufikiri, na umethbitisha hapa jamvini kuwa ww n mvivu wa kufikiri Mwalimu tangu 2007 walitishia kugoma, madaktar tangu 2001 wanagoma. Je ilikuwa ni chadema au kwa sababu chadema wamevunja ngome za magamba. Au n wafanyakazi kuchoka dhuluma kwa sababu wakubwa wanafaidika wao wanaumia.

make your point clear!otherwise hamuwezi kukwepa lawama za 'uchochezi'
 
mlichochea kina mgaya yakapita
mkachochea wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
mkachochea wamachinga wa mbeya mkayamaliza
mmechochea wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa kuchochea waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!

Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!

Nimekukubali Uda, hata inflation 20% wamechochea
 
Umesahau hata Boat iliyozama Zanzibar inadaiwa kulikuwa na Mkono wa Chadema.........Na bado sijui la mpaka wa Malawi kama hamtalihusisha na Chadema ........Si mlisema chama cha Msimu?
 
chadema kiboko kwa migomo kilicho baki ni kumshawishi kikwete aache kudondoa hovyo..
 
Umesahau kuweka na mafisadi,wamechochewa na Chadema kuiba pesa za uma!!!
Any way sema wewe unahitaji pumua,lakini kwa wengine mapambano yanaendelea mpaka kieleweke
 
Uda Dada umesema kweli hawa watu wao wanadhani miaka yote 5 ni uchochezi tu mpaka nchi isitawalike, wanajua demokrasia ni kumpinga mwenzio hata Chooni asiende lazima sababu ataipata tu, Walidai hata Rais kura kaiba na Hawakumtambua alipoingia Madarakani kwa mara ya pili, Sijui mwaka 2015 itakuwaje km M4C isiposhinda km vile Sangara tutajificha wapi naona watawaambia JWTZ wagome
 
Last edited by a moderator:
great thinkers fungukeni!mbona mwaniangusha?


uda

Mkuu bahati mbaya natumia mchina nimetafuta sehem ya kubofya Like siion.

- Good, gooder, goodest oh ni better then best.
Nimecheka hapajatosha

Hii ni kali ya mwaka.

Nakumbuka hesabu za mafumbo drs la nne ilikuwa kasheshe.
 
haya mambo yalikuwepo,yakatulia na sasa yameibuka kwa kasi baada ya harakati za chadema,hutaki?
..
Nadhani kenye Kichwa Chako Unaweza Kuwa na Habari ambazo hujaziweka kwenye karatasi.. Unavyofikiri Uda usidhani sote tunafikra hiyo, tunaweza kuyasoma mawazo yako ukiyaweka kwenye mandishi.. kusema "Haya Mambo yalikuwepo" Lazima Tujiulize Mambo gani?, Lini yalikuwepo?, kwa vipi yakatulia?, na kitu gani tena kinayaibua?, ukiweka hoja zako kimpangilio nadhani tutajua kitu unachomaanisha.. Mie sitaki kabisa kuamini kwamba Wanachama wa chama "Flani " ni kama waliochanganyikiwa, hata sred zao ziko kizungumkutizungumkuti tu.. no no no, i still believe bado akili mnazo, jaribu tu kutulia na kuweka hoja barabara..
 
Last edited by a moderator:
Nasikia hata mahuaji ya wachimbaji wadogo wadogo kule Afrika ya kusini, CCM imedai yamesababishwa na CHADEMA.
 
uda

Mkuu bahati mbaya natumia mchina nimetafuta sehem ya kubofya Like siion.

- Good, gooder, goodest oh ni better then best.
Nimecheka hapajatosha

Hii ni kali ya mwaka.

Nakumbuka hesabu za mafumbo drs la nne ilikuwa kasheshe.
lazima tupime kiwango cha u-great thinker jamvini otherwise tuendelee na mada.hebu chadema jiteteeni kwa tuhuma hizi za uchochezi.
 
unajua chadema baada ya maandamano ya arusha ndiyo yakafata ya nchi za kiarab hivyo chadema ilichochea migomo barani Africa..mtoto wangu jana aligoma kula kisa tulipika ugali na dagaa huku akijua ni eid chadema ilihusika hata kwenye simu yake nimeona namba za john mnyika
 
..
Nadhani kenye Kichwa Chako Unaweza Kuwa na Habari ambazo hujaziweka kwenye karatasi.. Unavyofikiri Uda usidhani sote tunafikra hiyo, tunaweza kuyasoma mawazo yako ukiyaweka kwenye mandishi.. kusema "Haya Mambo yalikuwepo" Lazima Tujiulize Mambo gani?, Lini yalikuwepo?, kwa vipi yakatulia?, na kitu gani tena kinayaibua?, ukiweka hoja zako kimpangilio nadhani tutajua kitu unachomaanisha.. Mie sitaki kabisa kuamini kwamba Wanachama wa chama "Flani " ni kama waliochanganyikiwa, hata sred zao ziko kizungumkutizungumkuti tu.. no no no, i still believe bado akili mnazo, jaribu tu kutulia na kuweka hoja barabara..
nitulize kwa kuniambia 'mchochezi' ni nani?
 
Last edited by a moderator:
unajua chadema baada ya maandamano ya arusha ndiyo yakafata ya nchi za kiarab hivyo chadema ilichochea migomo barani Africa..mtoto wangu jana aligoma kula kisa tulipika ugali na dagaa huku akijua ni eid chadema ilihusika hata kwenye simu yake nimeona namba za john mnyika
mnyika ndio huyu huyu alimtumia sms mbunge wetu wa iramba.yaan chadema!
 
lazima tupime kiwango cha u-great thinker jamvini otherwise tuendelee na mada.hebu chadema jiteteeni kwa tuhuma hizi za uchochezi.

watu hawajakusoma hahahaha..vipi chadema hawaja mshawishi mkeo akunyime unyumba..
 
Hawa cdm bana! Wamechochea hata mv skagit ikazama, wamechochea hata mabilioni yalofichwa uswisi yajulikane,
 
Bila kusahau arusha tunamtaka mbunge !!!!!! Tumekaa "ukiwa" muda sasa! Msidhani sisi ni wajinga! Ngoja kidogo uvumilivu wetu uishe "hamtaamini"
 
Back
Top Bottom