Uda
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 811
- 623
- Thread starter
- #21
Huu ni mtazamo wa wavvu wa kufikiri, na umethbitisha hapa jamvini kuwa ww n mvivu wa kufikiri Mwalimu tangu 2007 walitishia kugoma, madaktar tangu 2001 wanagoma. Je ilikuwa ni chadema au kwa sababu chadema wamevunja ngome za magamba. Au n wafanyakazi kuchoka dhuluma kwa sababu wakubwa wanafaidika wao wanaumia.
make your point clear!otherwise hamuwezi kukwepa lawama za 'uchochezi'