donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,052
- 21,527
- Thread starter
- #21
Kweli matamshi yanaweza kukuletea dhahama...Lol!
Umeona mkuu? Ni hatari asiee, lol!
Kweli matamshi yanaweza kukuletea dhahama...Lol!
Sumbawanga ndio inafupishwa hivyo.
Nimefungua kwa haraka nikadhani nakuta na kapicha.
Nimefungua kwa haraka nikadhani nakuta na kapicha.
Ha ha haaaaa, wapenda picha weyee?
furaha ya macho
don... watakuwa watani zangu wasukuma
kudadadeki kesho nakuja Kawe kuupiga huo uchi wa moto!!Salaam wakuu,
Nipo huku kawe ukwamani kuna mama mmoja anaitwa mama upinde hua jioni anauza uji mmoja wa ngano aisee ni matata sana ukiunywa huachi. Sasa nipo kwenye benchi na wazee fulani hapa sasa kuna jamaa amekuja ametuchekesha wote. Jamaa ana accent kama ya watu wa kule nyanda za juu amekaa kwenye benchi akasema,"mama upinde naomba uchi wa moto. Mama upinde acha aanze kummind jamaa anamdhalilisha kumbe jamaa matamshi ya J, G kwake yanampa shida kabisa hadi mzee mmoja ndio akamuamulia. Anyways, mi ndio namalizia kikombe changu cha tatu hapa nianze mdogo mdogo kwenda home. Jioni njema jamani!
kudadadeki kesho nakuja Kawe kuupiga huo uchi wa moto!!
Hahah karibu mkuu ukwamani tupate uchi wa moto!
Nimefungua kwa haraka nikadhani nakuta na kapicha.
heheh....unataka picha ya uchi wa moto sio
heheh....unataka picha ya uchi wa moto sio
Haya bhana.....kiwi cha macho hicho.