Uchawi wa macho. Upo na unaishi

Uchawi wa macho. Upo na unaishi

Mende mdudu

Senior Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
197
Reaction score
405
Niliwai kwenda kula mgahawani sasa nikaja na samaki wakubwa nikagiza milinda nyeuc ugali nikachukua wa bei ya juu mwingi najaziwa pale ndani kulikua na waha wana kopesha vitu kama watatu wana ongea kiluga tu,

iyo siku nilicho kula hakitoki, yani spati haja ndogo wala kubwa nina six-pack ila nikawa kama na kiriba tumbo nikafanya mazoez ili nipate haja wapi siamin ktk maombi ila usku nikamtafuta mama alipo nikamuelezea akaanza kuomba ndo usku sana nikaanza kupata choo.

Katika kuadisi watu, kuna mtu nae alisema walienda kwao mkoani kipindi yupo kama form three akanunua karanga kula njiani kuna mzee akamuangalia sana kuna karanga kama ikampalia iv,
Aliumwa sana kwenda hospital wap ndo wakaenda kwa bibi yao uko wakampa dawa za asili meza akalala pale kesho yake akatapika sana wakamwambia usile vitu njiani.
 
Niliwai kwenda kula mgahawani sasa nikaja na samaki wakubwa nikagiza milinda nyeuc ugali nikachukua wa bei ya juu mwingi najaziwa pale ndani kuliko na waha wana kopesha vitu kama watatu wana ongea kiluga tu, iyo siku nikicho kula hakutoki, yani spati haja ndogo wala kubwa nina six-pack ila nikawa kama na kiriba tumbo nikafanya mazoez ili nipate haja wapi siamin ktk maombi ila usku nikamtafuta mama alipo nikamuelezea akaanza kuomba ndo usku sana nikaanza kupata choo.

Katika kuadisi watu, kuna mtu nae alisema walienda kwao mkoani kipindi yupo kama form three akanunua karanga kula njiani kuna mzee akamuangalia sana kuna karanga kama ikampalia iv, aliumwa sana kwenda hospital wap ndo wakaenda kwa bibi yao uko wakampa dawa za asili meza akalala pale kesho yake akatapika sana wakamwia usile vitu njiani.
Unajua kuzitafuta pesa
 
Kaskazini wanaita zongo. Huku hata ndizi ya 200 mtu anakupiga nayo zongo kudadeki, utafurahia hayo maswaibu.
Dawa magadi.. loweka unywe.. usubiri kutapika unapona

Ila wanasema mwingine unakuta macho yake yana zongo ila ye mwenyewe hajui..
Duh
 
Hayo mambo yapo Ila haupaswi kuyaingiza katika akili yako .

Mimi nachukulia Kama negative energy kutoka kwa watu na sio zongo au jicho la husuda.

Mfano umenunua samaki wa 20K sato aliyekaangwa vizuri unaenda nae kula kwa mama ntilie uswahilini ambako ugali unauzwa 1500 hiyo situation itasababisha wivu na hasira kuona wewe unaishi good life while wao wanaishi bad life.


Ili usifike huko set standard ya maisha yako

Ukitaka kula vizuri nenda katika ngahawa VIP kakae huko au wakufungie ukalie nyumban kwako
 
Niliwai kwenda kula mgahawani sasa nikaja na samaki wakubwa nikagiza milinda nyeuc ugali nikachukua wa bei ya juu mwingi najaziwa pale ndani kuliko na waha wana kopesha vitu kama watatu wana ongea kiluga tu, iyo siku nikicho kula hakutoki, yani spati haja ndogo wala kubwa nina six-pack ila nikawa kama na kiriba tumbo nikafanya mazoez ili nipate haja wapi siamin ktk maombi ila usku nikamtafuta mama alipo nikamuelezea akaanza kuomba ndo usku sana nikaanza kupata choo.

Katika kuadisi watu, kuna mtu nae alisema walienda kwao mkoani kipindi yupo kama form three akanunua karanga kula njiani kuna mzee akamuangalia sana kuna karanga kama ikampalia iv, aliumwa sana kwenda hospital wap ndo wakaenda kwa bibi yao uko wakampa dawa za asili meza akalala pale kesho yake akatapika sana wakamwambia usile vitu njiani.
Nimependa tu jinsi unavyoandika. Mpaka raha kusoma yaani dah!
 
Kwa jinsi ulivyoelezea habari zote mbili ya kwako na rafiki yako, basi zote mbili nakuhakikishia sio Uchawi kabisa.

Jicho la husda ni baya zaidi ya Uchawi
Ulipoagiza ugali kuna mtu aliuangalia kwa jicho la husda au kujisemea " Loo ugali mkubwa hivyo atamaliza"
Hapo jicho tayari limekupata
Na kwa kuwa huamini sala na maombi basi ikawa njia nyeupe kwa jicho hilo

Sisi tunajua hilo huwa tunaomba sana kwa kujikinga na jicho la mahasidi.

Huyo wa pili pia ni Jicho nae

Yule mzee sio mchawi bali ni jicho alitamani zile karanga

Laiti kijana angejua angempa zote tu akaondoka zake.

Kwa hiyo ujue Jicho la hasidi ni baya kuliko Mchawi
 
Kaskazini wanaita zongo. Huku hata ndizi ya 200 mtu anakupiga nayo zongo kudadeki, utafurahia hayo maswaibu.
Dawa magadi.. loweka unywe.. usubiri kutapika unapona

Ila wanasema mwingine unakuta macho yake yana zongo ila ye mwenyewe hajui..
Kweli kabisa ni zongo hilo au Evil eye ni baya kuliko uchawi
 
Naomba msaada..... Mtu anapoitwa na watu eidha anaowajua au asiowajua kuwa ni mshirikina.... Lakini hata kwa mganga hajawahi kwenda... Hajui mambo ya uchawi/ ulozi / ushirikina.... Maana yake hasa hapa ni ipi??
 
Niliwai kwenda kula mgahawani sasa nikaja na samaki wakubwa nikagiza milinda nyeuc ugali nikachukua wa bei ya juu mwingi najaziwa pale ndani kuliko na waha wana kopesha vitu kama watatu wana ongea kiluga tu, iyo siku nikicho kula hakutoki, yani spati haja ndogo wala kubwa nina six-pack ila nikawa kama na kiriba tumbo nikafanya mazoez ili nipate haja wapi siamin ktk maombi ila usku nikamtafuta mama alipo nikamuelezea akaanza kuomba ndo usku sana nikaanza kupata choo.

Katika kuadisi watu, kuna mtu nae alisema walienda kwao mkoani kipindi yupo kama form three akanunua karanga kula njiani kuna mzee akamuangalia sana kuna karanga kama ikampalia iv, aliumwa sana kwenda hospital wap ndo wakaenda kwa bibi yao uko wakampa dawa za asili meza akalala pale kesho yake akatapika sana wakamwambia usile vitu njiani.
Hiyo ni zongo. Mambo hayo yapo sana Tanga, Mara na Kigoma.
 
Huku kijijini kwetu kuna Mzee mmoja anao uchawi wa zongo

Kwa mfano kama akipita karibu na nyumbani kwa watu na wakati huo chakula kiwe kinapikwa kwa meko ya nje na Bahati mbaya Yule mzee atazame kile chakula,walahi hakitokaa kiive hata uweke Moto kiasi gani,kama ni ugali utabaki kuwa mwepesi mwepesi Tu

Sawa yake ni kumfata Yule mzee aje angalau asogeze ukuni mekoni ndo chakula kiive😂
 
Naomba msaada..... Mtu anapoitwa na watu eidha anaowajua au asiowajua kuwa ni mshirikina.... Lakini hata kwa mganga hajawahi kwenda... Hajui mambo ya uchawi/ ulozi / ushirikina.... Maana yake hasa hapa ni ipi??
We ni mlokole if yes jitafakari mienendi yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom