Sio Kyela tu. Hiyo ipo sehemu mbalimbali. Kyela wanaita ijoka. Kuna wengine wamezaliwa hivyo halafu hajui. Mpaka wanaojua wamtapishe. Wapo wengine ndio wanaenda kununua huo uchawi. Japo kwa siku hizi hayo mambo siku hizi yamepungua sana,kama sio kuisha. Niliyasikia zamani miaka ya 90 huko. Naona kama yameishaZamani ulikuwepo huko kyela sijajua kama mpaka Leo upo