Uchawi wa kutumia dekio

Uchawi wa kutumia dekio

Yaani membe bado hajalipwa bil. 9 yake tena kumbe kuna uchawi wa dekio. Hii nchi ina matukio back to back yaani hatupumziki.
 
chukua chura mzima mshonee kwenye kitambaa cheusi kama hirizi kisha weka mlangoni kwake.kisha leta mrejesho hapa
 
Habarini wakuu,

Ni muda sasa nipo kwenye mgogoro na mpangaji mwenzangu,Tumefikia hatua mpaka hatusalimiani!..

Siku za hivi karibuni nilikuwa npo kibaruani ,jion nilpo rudi nyumbani
nikapewa taarifa na bint wangu wa kazi alimuona huyo mpangaji mwenzangu akichukua dekio la ndan kwangu na kuchana kipande kidogo kisha kutokomea ndani kwake na kipande hcho!...

Sasa wasi wasi wangu upo juu ya hilo tukio,maana huwa nasikia kua namna wachawi huwa wanatumia nguo au kpande cha dekio katka kumfanyia shikri mbaya wake!...

Naomba mwenye kujua zaidi na namna ya kuepukana na haya mambo!
Unagombana na mpangaji mwenzio kwann ? Mm huwa hata siongeagi nao zaid
 
Habarini wakuu,

Ni muda sasa nipo kwenye mgogoro na mpangaji mwenzangu,Tumefikia hatua mpaka hatusalimiani!..

Siku za hivi karibuni nilikuwa npo kibaruani ,jion nilpo rudi nyumbani
nikapewa taarifa na bint wangu wa kazi alimuona huyo mpangaji mwenzangu akichukua dekio la ndan kwangu na kuchana kipande kidogo kisha kutokomea ndani kwake na kipande hcho!...

Sasa wasi wasi wangu upo juu ya hilo tukio,maana huwa nasikia kua namna wachawi huwa wanatumia nguo au kpande cha dekio katka kumfanyia shikri mbaya wake!...

Naomba mwenye kujua zaidi na namna ya kuepukana na haya mambo!
HAMA .
 
Liloweke kwenye chumvi ya mawe asubuhi mtupie ndani kwake dekio lote,tafuta lingine.
 
Wewe mtegee akipita sehemu nenda kachukue mchanga aliokanyaga na aone kuwa umechukua halafu zunguka nyuma ya nyumba kautupe.mtie jamba jamba kama alivyokujambisha wewe na kipande cha tambala la deki
 
Habarini wakuu,

Ni muda sasa nipo kwenye mgogoro na mpangaji mwenzangu, tumefikia hatua mpaka hatusalimiani!

Siku za hivi karibuni nilikuwa npo kibaruani ,jion nilpo rudi nyumbani, nikapewa taarifa na bint wangu wa kazi alimuona huyo mpangaji mwenzangu akichukua dekio la ndan kwangu na kuchana kipande kidogo kisha kutokomea ndani kwake na kipande hcho!

Sasa wasi wasi wangu upo juu ya hilo tukio,maana huwa nasikia kua namna wachawi huwa wanatumia nguo au kpande cha dekio katka kumfanyia shikri mbaya wake!

Naomba mwenye kujua zaidi na namna ya kuepukana na haya mambo!
Hakuna uchawi tena hapo, hawezi kukudhuru tena! Kila kitu kiliharibika alipoonwa
 
Habarini wakuu,

Ni muda sasa nipo kwenye mgogoro na mpangaji mwenzangu, tumefikia hatua mpaka hatusalimiani!

Siku za hivi karibuni nilikuwa npo kibaruani ,jion nilpo rudi nyumbani, nikapewa taarifa na bint wangu wa kazi alimuona huyo mpangaji mwenzangu akichukua dekio la ndan kwangu na kuchana kipande kidogo kisha kutokomea ndani kwake na kipande hcho!

Sasa wasi wasi wangu upo juu ya hilo tukio,maana huwa nasikia kua namna wachawi huwa wanatumia nguo au kpande cha dekio katka kumfanyia shikri mbaya wake!

Naomba mwenye kujua zaidi na namna ya kuepukana na haya mambo!
Ebu mchawi wetu mkuu Mshana Jr njoo umsaidie huyu Aunt Cash
 
Habarini wakuu,

Ni muda sasa nipo kwenye mgogoro na mpangaji mwenzangu, tumefikia hatua mpaka hatusalimiani!

Siku za hivi karibuni nilikuwa npo kibaruani ,jion nilpo rudi nyumbani, nikapewa taarifa na bint wangu wa kazi alimuona huyo mpangaji mwenzangu akichukua dekio la ndan kwangu na kuchana kipande kidogo kisha kutokomea ndani kwake na kipande hcho!

Sasa wasi wasi wangu upo juu ya hilo tukio,maana huwa nasikia kua namna wachawi huwa wanatumia nguo au kpande cha dekio katka kumfanyia shikri mbaya wake!

Naomba mwenye kujua zaidi na namna ya kuepukana na haya mambo!
Mvizie vizie chota unyayo.
Alf tuone atachukua uamuzi gani😁😁
 
Habarini wakuu,

Ni muda sasa nipo kwenye mgogoro na mpangaji mwenzangu, tumefikia hatua mpaka hatusalimiani!

Siku za hivi karibuni nilikuwa npo kibaruani ,jion nilpo rudi nyumbani, nikapewa taarifa na bint wangu wa kazi alimuona huyo mpangaji mwenzangu akichukua dekio la ndan kwangu na kuchana kipande kidogo kisha kutokomea ndani kwake na kipande hcho!

Sasa wasi wasi wangu upo juu ya hilo tukio,maana huwa nasikia kua namna wachawi huwa wanatumia nguo au kpande cha dekio katka kumfanyia shikri mbaya wake!

Naomba mwenye kujua zaidi na namna ya kuepukana na haya mambo!
Ma mdogo huyo anaenda kukuloga njoo PM haraka sana unipe namba zako tufanye tambiko
1679883943056.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom