Uchawi wa kutumia dekio

Uchawi wa kutumia dekio

Jitahidi ujenge hata vyumba viwili, au tafuta nyumba nyingine, magomvi sio mazuri, watu wanauwawa siku hizi, anaweza kuwawekeeni sumu kwa taadhali tu.
 
Chukua mkaa uufunge tambaa jeusi nawe kalirushe mlangoni kwake akiwa anaona. Hii ni michezo ya kisaikolojia tu. Mshirikina ataogopa ushirikina
 
Habarini wakuu,

Ni muda sasa nipo kwenye mgogoro na mpangaji mwenzangu,Tumefikia hatua mpaka hatusalimiani!..

Siku za hivi karibuni nilikuwa npo kibaruani ,jion nilpo rudi nyumbani
nikapewa taarifa na bint wangu wa kazi alimuona huyo mpangaji mwenzangu akichukua dekio la ndan kwangu na kuchana kipande kidogo kisha kutokomea ndani kwake na kipande hcho!...

Sasa wasi wasi wangu upo juu ya hilo tukio,maana huwa nasikia kua namna wachawi huwa wanatumia nguo au kpande cha dekio katka kumfanyia shikri mbaya wake!...

Naomba mwenye kujua zaidi na namna ya kuepukana na haya mambo!
MKABIDHI YESU KRISTO WA NAZARETH AWE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO...

Kila kitu KUTAKUA sawa mkuu usiogope mkaribishe YESU KRISTO WA NAZARETH KUA NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO.......
 
Acha uoga mkuu labda deki yake imeharibika mkaushie au km vp mpe dekio lote
 
Nashangaa anachelewa nini na yeye akanunue nazi nyekundu achore maandishi yoyote yasiyoweza kusomeka kisha avunje mbele yake huku akisema kama alivyochana tambaa na mimi namvunja viungo🤪😬😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
 
Habarini wakuu,

Ni muda sasa nipo kwenye mgogoro na mpangaji mwenzangu,Tumefikia hatua mpaka hatusalimiani!..

Siku za hivi karibuni nilikuwa npo kibaruani ,jion nilpo rudi nyumbani
nikapewa taarifa na bint wangu wa kazi alimuona huyo mpangaji mwenzangu akichukua dekio la ndan kwangu na kuchana kipande kidogo kisha kutokomea ndani kwake na kipande hcho!...

Sasa wasi wasi wangu upo juu ya hilo tukio,maana huwa nasikia kua namna wachawi huwa wanatumia nguo au kpande cha dekio katka kumfanyia shikri mbaya wake!...

Naomba mwenye kujua zaidi na namna ya kuepukana na haya mambo!
Watu wengi wanajifanya uchawi haupo, uchawi upo ni ushirika wa mwanadamu na roho za giza. Kama kweli wewe sio mchokozi katika ugomvi huo basi ujue kwamba unadili na mshirikina au mchawi kabisa.

Hivyo kuwa makini na kwangu ningekushauri uwe imara na imani yako kwa Mungu. Kama umemkosea basi mwombe msamaha. Kisha kaa katika ulinzi wa Yesu Kristo utakuwa salama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom