Uchawi wa kutumia dekio

Uchawi wa kutumia dekio

Aunt Cash

Member
Joined
Feb 3, 2019
Posts
88
Reaction score
97
Habarini wakuu,

Ni muda sasa nipo kwenye mgogoro na mpangaji mwenzangu, tumefikia hatua mpaka hatusalimiani!

Siku za hivi karibuni nilikuwa npo kibaruani ,jion nilpo rudi nyumbani, nikapewa taarifa na bint wangu wa kazi alimuona huyo mpangaji mwenzangu akichukua dekio la ndan kwangu na kuchana kipande kidogo kisha kutokomea ndani kwake na kipande hcho!

Sasa wasi wasi wangu upo juu ya hilo tukio,maana huwa nasikia kua namna wachawi huwa wanatumia nguo au kpande cha dekio katka kumfanyia shikri mbaya wake!

Naomba mwenye kujua zaidi na namna ya kuepukana na haya mambo!
 
Hapo mkuu inabidi mpaka usubirie matokeo, then ndio uje kuomba ushauri 😅😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom