Hao wasanii tu hawana lolote, wanatengeneza jina wapate wateja au umesahau yale ya Dk. Manyaunyau wa Gongola mboto sasa anamiliki MaDCM kibao ya Gongolamboto Posta
duh hivi vibinti vya utumishi vitaangamiza taifa la mtwara
Yaani leo umeamua kuandika na rangi rangi ili tuelewe zaidi au?? (Joke)
Kumbe uko Mtwara mbona hatuambizani wajameni?? Mie niko Masasi nafundisha shule ya msingi (Jina kapuni)
Yaani leo umeamua kuandika na rangi rangi ili tuelewe zaidi au?? (Joke)
Kumbe uko Mtwara mbona hatuambizani wajameni?? Mie niko Masasi nafundisha shule ya msingi (Jina kapuni)
Sizinga! Updates pls! Wamefikia wapi hao chuma ulete?
wale wanaopaa na ungo wanatumia mazingaombwe au uchawi? Na je wale wanaomtoa mtu kitandani alikolala na kumpeleka nje ya nyumba au juu ya mti akiamka anajikuta huko? Mazingaombwe au uchawi?
tena wabunge wa Mtwara ni wachawi saaanaaaaas......
Hawa Ghasia anauwa wapinzan wake ile mbayaaaa........kuna wawili walichuana nae 2010, wote walikufa kiutata!!!""''
MURJI ANAMILI MAJINI.....LOOOOOHGHHH......A
ACHENI UCHAWIIIIIIIIIIII
Kuna tetesi nimesikia kuwa kuna waziri flani wa ofisi ya rais na management amewaambia polisi hao jamaa wasiende kijijini kwao, wapigwe stop...so ngoja so vitop wana hofu sana ya kuumbuka hapa mjini.
Nawakilisha!!
Hao wasanii tu hawana lolote, wanatengeneza jina wapate wateja au umesahau yale ya Dk. Manyaunyau wa Gongola mboto sasa anamiliki MaDCM kibao ya Gongolamboto Posta
Wambieni waende wakatoe tunguri kwenye kile kiti cha mzee wa kaya anachokitumia kila mara