Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wakuu
Hivi kwa nini serikali na wasomi wa vyuo vikuu kama UDSM na vinginevyo Tanzania hawatoi paper na kufanya tafiti kuhusu mada ya uchawi. Hapa naongelea uchawi unaaoonekana ni wa kisayansi. Mfano tunasikia wengine wanasafiri kwa ungo.
Karibuni tujadii uchawi kisayansi na kiteknolojia. Nini mtazamo wako.
Hivi kwa nini serikali na wasomi wa vyuo vikuu kama UDSM na vinginevyo Tanzania hawatoi paper na kufanya tafiti kuhusu mada ya uchawi. Hapa naongelea uchawi unaaoonekana ni wa kisayansi. Mfano tunasikia wengine wanasafiri kwa ungo.
- Je uchawi ni kitu kipo lakini hakiwezi kuthibika kisayansi?
- Kisayansi na kijamii haKuna uchawi?
- Kuna vitu kuhusu uchawi vinaweza kuwa na manufaa katika jamii?
- Si sawa na ni matumizi mabaya ya Serikali ikifadhili reseach za uchawi na wasomi kufanya tafiti za kisayasni kuhusu uchawi
- Tuombe msaada wa wa taaisi kama JICA, DFID UNESCO ili tafiti za uchawi Tanzania zifanyike na mambo ya manufaa yaendelezwe teh teh teh teh .
- ..... ongeza maswli ya kisayansi mengine kuhusu uchawi...
Karibuni tujadii uchawi kisayansi na kiteknolojia. Nini mtazamo wako.