world without end
Member
- Jul 17, 2016
- 57
- 47
Yesu pekee ndo anayeweza kukusaidia
hakika siyo?Yesu pekee ndo anayeweza kukusaidia
KWA NINI MAN?Paka hakai kwa mselaaa
Kwamba panya kuchukua mkwanja ni suala la kawaida. Uko pand zipi nije kutalii na kushuhudia matukio adimu ya namna iyo.Acha uoga mbona maswala ya kawaida tu hayo sisi huku wanatula hadi visigino
Nadhani upo mie humu ndani Kuna panya anapoingilia sijui nikimtafuta nimuon Na vitu vyangu vinapotea ukiweka simu hagusiWakuu habari,
Nimeona niweke uzi huu ili kupata usaidizi wa kina kwa wajuzi na juu ya kukabiliana na hili tatizo. Naishi peke yangu katika kachumba kangu, lakini ajabu ni kwamba kila ikifika mida ya saa nne usiku na kuendelea kila siku kuna panya mmoja anapita juu ya dari kutoka jikoni kuja ndani kwangu, atazunguka akichka atashuka chini ya uvungu wa kitanda kupitia miti ya neti.
Pamoja na hayo nishichoelewa ni juu ya matukio haya mawili, kuna siku niliweka elfu kumi na mbili juu ya meza yangu nikaamka nikakuta zipo elfu sana tu, nilijiuliza sana mwisho nikaamua kupotezea, Pili ni usiku wa kuamkia leo, nikiwa na akili timamu, nakumbuka jana nilinunua karanga mbichi za miambili kwa jili ya kutafuna asubuhi ya leo nikiwa katika mishe zangu, nazo nikaziweka pembezoni kabisa mwa PC yangu katika hako kameza, ilipofika usiku mnene nikasikia kwa masiko yangu kwani siku hiyo sikupata usingizi mapema kama mjongeo wa mtu si mtu kitu si kitu kikifanya kukurukakara ndani ya chumba changu, nikapatwa na hofu zaidi hiko kitu/mtu alipokanyaga kitu mithili ya karatasi kuja kuelekea nilikolala, nikapata kaujasiri nikapiga kadua kafupi hali ikatulia.
But nilipoamka asubuhi na nilichelewa kuliko kawaida ajabu sikuziona zile karanga, nimetafuta kila kona ya chumba sikuoziona, sasa wajuzi wa haya mambo na wanaojua masuala ya shiriki, embu niambieni hii inamaana gani na naweza vipi kuitataua katiaka hali ya ubinadamu pamoja na kwamba najua fika kuwa sala ni na kukemea ni dawa nzuri zaidi.
Pia kama ni wachawi nataka niwaone ili niwaulize hasa wanataka nini kwangu?
Natanguliza shukrani kwa wachangaiaji, ila tafadhali changia inavyokupa, matani na matusi plus jokes sio busara.

Leo naweka vitunguu![]()
![]()
michezo tu ya wanga hiyo alale na kipande cha ndimu chini ya mto kisha ajipake kitunguu saumu kwenye paji la uso
Wakuu habari,
Nimeona niweke uzi huu ili kupata usaidizi wa kina kwa wajuzi na juu ya kukabiliana na hili tatizo. Naishi peke yangu katika kachumba kangu, lakini ajabu ni kwamba kila ikifika mida ya saa nne usiku na kuendelea kila siku kuna panya mmoja anapita juu ya dari kutoka jikoni kuja ndani kwangu, atazunguka akichka atashuka chini ya uvungu wa kitanda kupitia miti ya neti.
Pamoja na hayo nishichoelewa ni juu ya matukio haya mawili, kuna siku niliweka elfu kumi na mbili juu ya meza yangu nikaamka nikakuta zipo elfu sana tu, nilijiuliza sana mwisho nikaamua kupotezea, Pili ni usiku wa kuamkia leo, nikiwa na akili timamu, nakumbuka jana nilinunua karanga mbichi za miambili kwa jili ya kutafuna asubuhi ya leo nikiwa katika mishe zangu, nazo nikaziweka pembezoni kabisa mwa PC yangu katika hako kameza, ilipofika usiku mnene nikasikia kwa masiko yangu kwani siku hiyo sikupata usingizi mapema kama mjongeo wa mtu si mtu kitu si kitu kikifanya kukurukakara ndani ya chumba changu, nikapatwa na hofu zaidi hiko kitu/mtu alipokanyaga kitu mithili ya karatasi kuja kuelekea nilikolala, nikapata kaujasiri nikapiga kadua kafupi hali ikatulia.
But nilipoamka asubuhi na nilichelewa kuliko kawaida ajabu sikuziona zile karanga, nimetafuta kila kona ya chumba sikuoziona, sasa wajuzi wa haya mambo na wanaojua masuala ya shiriki, embu niambieni hii inamaana gani na naweza vipi kuitataua katiaka hali ya ubinadamu pamoja na kwamba najua fika kuwa sala ni na kukemea ni dawa nzuri zaidi.
Pia kama ni wachawi nataka niwaone ili niwaulize hasa wanataka nini kwangu?
Natanguliza shukrani kwa wachangaiaji, ila tafadhali changia inavyokupa, matani na matusi plus jokes sio busara.
hupiki chakula hivyo atakufa njaa. Kama panya kala karanga umetafuta balaa teh tehKWA NINI MAN?
Ni kweli. Hilo sio jambo jipya na nimeshakutana na matukio ya aina hiyo mengi. Panya mmoja tu anasumbua sana na kumuua inakuwa ni shida sana. Wanakuwaga wajanja utafikiri ni binadamu. Lakini nakuhakikishia hakuna uchawi hata kidogo. Namna nzuri sana ya ku-overcome hofu za aina hiyo ni kuwa na imani ya dini na kumwamini Mungu. Hilo litakusaidia japokuwa naamini huyo panya sio wa uchawi!mkuu umeongea vema sana ,ila ajabu ni kwamba ndani mwangu kuna panya mmoja tu huyohuyo wa kila siku,yani kazi yake ni kupita juu ya kenji za nyumba kwenda na kurudi,ukilala naona ndio huwa anashuka china
Hawa wachawi wengine bana wajinga sasa karanga wanazpeleka wapiIla hawaibi karanga wala pesa
Vitisho na njaaHawa wachawi wengine bana wajinga sasa karanga wanazpeleka wapi
ILA MKUU, hiyo ndimu uliyosema niweke chini ya mto iwe nzima au niikate na je kama nikiikata si itamwaga asid kwenye tandiko ,au naifanyaje,naomba ufafanuzi katika hilo mkuuVitisho na njaa
Weka pembeni kwenye tendegu ikiangalia juuILA MKUU, hiyo ndimu uliyosema niweke chini ya mto iwe nzima au niikate na je kama nikiikata si itamwaga asid kwenye tandiko ,au naifanyaje,naomba ufafanuzi katika hilo mkuu
Wakuu habari,
Nimeona niweke uzi huu ili kupata usaidizi wa kina kwa wajuzi na juu ya kukabiliana na hili tatizo. Naishi peke yangu katika kachumba kangu, lakini ajabu ni kwamba kila ikifika mida ya saa nne usiku na kuendelea kila siku kuna panya mmoja anapita juu ya dari kutoka jikoni kuja ndani kwangu, atazunguka akichka atashuka chini ya uvungu wa kitanda kupitia miti ya neti.
Pamoja na hayo nishichoelewa ni juu ya matukio haya mawili, kuna siku niliweka elfu kumi na mbili juu ya meza yangu nikaamka nikakuta zipo elfu sana tu, nilijiuliza sana mwisho nikaamua kupotezea, Pili ni usiku wa kuamkia leo, nikiwa na akili timamu, nakumbuka jana nilinunua karanga mbichi za miambili kwa jili ya kutafuna asubuhi ya leo nikiwa katika mishe zangu, nazo nikaziweka pembezoni kabisa mwa PC yangu katika hako kameza, ilipofika usiku mnene nikasikia kwa masiko yangu kwani siku hiyo sikupata usingizi mapema kama mjongeo wa mtu si mtu kitu si kitu kikifanya kukurukakara ndani ya chumba changu, nikapatwa na hofu zaidi hiko kitu/mtu alipokanyaga kitu mithili ya karatasi kuja kuelekea nilikolala, nikapata kaujasiri nikapiga kadua kafupi hali ikatulia.
But nilipoamka asubuhi na nilichelewa kuliko kawaida ajabu sikuziona zile karanga, nimetafuta kila kona ya chumba sikuoziona, sasa wajuzi wa haya mambo na wanaojua masuala ya shiriki, embu niambieni hii inamaana gani na naweza vipi kuitataua katiaka hali ya ubinadamu pamoja na kwamba najua fika kuwa sala ni na kukemea ni dawa nzuri zaidi.
Pia kama ni wachawi nataka niwaone ili niwaulize hasa wanataka nini kwangu?
Natanguliza shukrani kwa wachangaiaji, ila tafadhali changia inavyokupa, matani na matusi plus jokes sio busara.
Kuna mwalimu alikuwa anakaa kule Ludewa alikuwa anawaona panya wamevaa suti tai na mwingine kaning'iniza kimkoba halafu wanapita alipo yeye kila siku, nusura aache kazi.
Ikabidi serikali imhamishe na kuwaacha wanakijiji waendelee na ujinga wao.