Uchawi kupitia panya

Uchawi kupitia panya

Acha uoga mbona maswala ya kawaida tu hayo sisi huku wanatula hadi visigino
Kwamba panya kuchukua mkwanja ni suala la kawaida. Uko pand zipi nije kutalii na kushuhudia matukio adimu ya namna iyo.
 
Wakuu habari,

Nimeona niweke uzi huu ili kupata usaidizi wa kina kwa wajuzi na juu ya kukabiliana na hili tatizo. Naishi peke yangu katika kachumba kangu, lakini ajabu ni kwamba kila ikifika mida ya saa nne usiku na kuendelea kila siku kuna panya mmoja anapita juu ya dari kutoka jikoni kuja ndani kwangu, atazunguka akichka atashuka chini ya uvungu wa kitanda kupitia miti ya neti.

Pamoja na hayo nishichoelewa ni juu ya matukio haya mawili, kuna siku niliweka elfu kumi na mbili juu ya meza yangu nikaamka nikakuta zipo elfu sana tu, nilijiuliza sana mwisho nikaamua kupotezea, Pili ni usiku wa kuamkia leo, nikiwa na akili timamu, nakumbuka jana nilinunua karanga mbichi za miambili kwa jili ya kutafuna asubuhi ya leo nikiwa katika mishe zangu, nazo nikaziweka pembezoni kabisa mwa PC yangu katika hako kameza, ilipofika usiku mnene nikasikia kwa masiko yangu kwani siku hiyo sikupata usingizi mapema kama mjongeo wa mtu si mtu kitu si kitu kikifanya kukurukakara ndani ya chumba changu, nikapatwa na hofu zaidi hiko kitu/mtu alipokanyaga kitu mithili ya karatasi kuja kuelekea nilikolala, nikapata kaujasiri nikapiga kadua kafupi hali ikatulia.

But nilipoamka asubuhi na nilichelewa kuliko kawaida ajabu sikuziona zile karanga, nimetafuta kila kona ya chumba sikuoziona, sasa wajuzi wa haya mambo na wanaojua masuala ya shiriki, embu niambieni hii inamaana gani na naweza vipi kuitataua katiaka hali ya ubinadamu pamoja na kwamba najua fika kuwa sala ni na kukemea ni dawa nzuri zaidi.

Pia kama ni wachawi nataka niwaone ili niwaulize hasa wanataka nini kwangu?

Natanguliza shukrani kwa wachangaiaji, ila tafadhali changia inavyokupa, matani na matusi plus jokes sio busara.
Nadhani upo mie humu ndani Kuna panya anapoingilia sijui nikimtafuta nimuon Na vitu vyangu vinapotea ukiweka simu hagusi
 
Wakuu habari,

Nimeona niweke uzi huu ili kupata usaidizi wa kina kwa wajuzi na juu ya kukabiliana na hili tatizo. Naishi peke yangu katika kachumba kangu, lakini ajabu ni kwamba kila ikifika mida ya saa nne usiku na kuendelea kila siku kuna panya mmoja anapita juu ya dari kutoka jikoni kuja ndani kwangu, atazunguka akichka atashuka chini ya uvungu wa kitanda kupitia miti ya neti.

Pamoja na hayo nishichoelewa ni juu ya matukio haya mawili, kuna siku niliweka elfu kumi na mbili juu ya meza yangu nikaamka nikakuta zipo elfu sana tu, nilijiuliza sana mwisho nikaamua kupotezea, Pili ni usiku wa kuamkia leo, nikiwa na akili timamu, nakumbuka jana nilinunua karanga mbichi za miambili kwa jili ya kutafuna asubuhi ya leo nikiwa katika mishe zangu, nazo nikaziweka pembezoni kabisa mwa PC yangu katika hako kameza, ilipofika usiku mnene nikasikia kwa masiko yangu kwani siku hiyo sikupata usingizi mapema kama mjongeo wa mtu si mtu kitu si kitu kikifanya kukurukakara ndani ya chumba changu, nikapatwa na hofu zaidi hiko kitu/mtu alipokanyaga kitu mithili ya karatasi kuja kuelekea nilikolala, nikapata kaujasiri nikapiga kadua kafupi hali ikatulia.

But nilipoamka asubuhi na nilichelewa kuliko kawaida ajabu sikuziona zile karanga, nimetafuta kila kona ya chumba sikuoziona, sasa wajuzi wa haya mambo na wanaojua masuala ya shiriki, embu niambieni hii inamaana gani na naweza vipi kuitataua katiaka hali ya ubinadamu pamoja na kwamba najua fika kuwa sala ni na kukemea ni dawa nzuri zaidi.

Pia kama ni wachawi nataka niwaone ili niwaulize hasa wanataka nini kwangu?

Natanguliza shukrani kwa wachangaiaji, ila tafadhali changia inavyokupa, matani na matusi plus jokes sio busara.

Achana wasiwasi hapo umeelezea tabia za panya. Na huo mda wa saa 4 anapotoka panakuwa pametulia.
 
mkuu umeongea vema sana ,ila ajabu ni kwamba ndani mwangu kuna panya mmoja tu huyohuyo wa kila siku,yani kazi yake ni kupita juu ya kenji za nyumba kwenda na kurudi,ukilala naona ndio huwa anashuka china
Ni kweli. Hilo sio jambo jipya na nimeshakutana na matukio ya aina hiyo mengi. Panya mmoja tu anasumbua sana na kumuua inakuwa ni shida sana. Wanakuwaga wajanja utafikiri ni binadamu. Lakini nakuhakikishia hakuna uchawi hata kidogo. Namna nzuri sana ya ku-overcome hofu za aina hiyo ni kuwa na imani ya dini na kumwamini Mungu. Hilo litakusaidia japokuwa naamini huyo panya sio wa uchawi!
 
ILA MKUU, hiyo ndimu uliyosema niweke chini ya mto iwe nzima au niikate na je kama nikiikata si itamwaga asid kwenye tandiko ,au naifanyaje,naomba ufafanuzi katika hilo mkuu
Weka pembeni kwenye tendegu ikiangalia juu
 
Wakuu habari,

Nimeona niweke uzi huu ili kupata usaidizi wa kina kwa wajuzi na juu ya kukabiliana na hili tatizo. Naishi peke yangu katika kachumba kangu, lakini ajabu ni kwamba kila ikifika mida ya saa nne usiku na kuendelea kila siku kuna panya mmoja anapita juu ya dari kutoka jikoni kuja ndani kwangu, atazunguka akichka atashuka chini ya uvungu wa kitanda kupitia miti ya neti.

Pamoja na hayo nishichoelewa ni juu ya matukio haya mawili, kuna siku niliweka elfu kumi na mbili juu ya meza yangu nikaamka nikakuta zipo elfu sana tu, nilijiuliza sana mwisho nikaamua kupotezea, Pili ni usiku wa kuamkia leo, nikiwa na akili timamu, nakumbuka jana nilinunua karanga mbichi za miambili kwa jili ya kutafuna asubuhi ya leo nikiwa katika mishe zangu, nazo nikaziweka pembezoni kabisa mwa PC yangu katika hako kameza, ilipofika usiku mnene nikasikia kwa masiko yangu kwani siku hiyo sikupata usingizi mapema kama mjongeo wa mtu si mtu kitu si kitu kikifanya kukurukakara ndani ya chumba changu, nikapatwa na hofu zaidi hiko kitu/mtu alipokanyaga kitu mithili ya karatasi kuja kuelekea nilikolala, nikapata kaujasiri nikapiga kadua kafupi hali ikatulia.

But nilipoamka asubuhi na nilichelewa kuliko kawaida ajabu sikuziona zile karanga, nimetafuta kila kona ya chumba sikuoziona, sasa wajuzi wa haya mambo na wanaojua masuala ya shiriki, embu niambieni hii inamaana gani na naweza vipi kuitataua katiaka hali ya ubinadamu pamoja na kwamba najua fika kuwa sala ni na kukemea ni dawa nzuri zaidi.

Pia kama ni wachawi nataka niwaone ili niwaulize hasa wanataka nini kwangu?

Natanguliza shukrani kwa wachangaiaji, ila tafadhali changia inavyokupa, matani na matusi plus jokes sio busara.


Mhhhh, kama wenye nyumba yako ni watu wa Kigoma, Rukwa, Tanga, hii ni asili yao. Pole lakini na jitahidi uhame haraka sana kwani huyo panya mwisho wa siku wenye nyumba wakiona hauna mpango na msichana wao watakufila ili wakukomoe kisha wakusanifu.
 
Panya kavaa tai na mwingine mkoba? Hao jamaa wakali,labda zilikuwa hirizi
Kuna mwalimu alikuwa anakaa kule Ludewa alikuwa anawaona panya wamevaa suti tai na mwingine kaning'iniza kimkoba halafu wanapita alipo yeye kila siku, nusura aache kazi.
Ikabidi serikali imhamishe na kuwaacha wanakijiji waendelee na ujinga wao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom