Jamani sijui serikali inasaidia vipi wananchi wake. Maeneo ya Buguruni na Kinondoni hali ni mbaya nyakati za usiku. Wasichana wadogo wanajiuza - wanagawa uroda - ngono inaendelea bila aibu. Huu ni msiba kwa nchi.
Qualifier wewe ungewasaidiaje!!!!!!!wewe unawasaidiaje?
Kuna mtaa ya temeke ..wanauza mchana kweupeee...
hapo sipajui mkuu sokota au tuambizane basi
Jamani sijui serikali inasaidia vipi wananchi wake. Maeneo ya Buguruni na Kinondoni hali ni mbaya nyakati za usiku. Wasichana wadogo wanajiuza - wanagawa uroda - ngono inaendelea bila aibu. Huu ni msiba kwa nchi.
Wanatumia Fulsa zipatikanazo.