Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,947
- 5,342
MTU akihama upinzani kwenda ccm sio utashi wake, ila akihama ccm kwenda upinzani ni haki yake ya msingi na ndio demokrasia ya kweli....ama hakika safari bado ndefu katika Uhuru Wa fikra na tafsiri sawa ya demokrasia ya vyama vingi.Dr. Slaa hakutoka cdm kwa utashi wake. Sote tunajua mazingira yalivyokuwa na mengine siyo busara hata kujadili hadharani. Yameshapita hayo tugange yajayo. Ya Lipumba ndiyo kabisa hatuhitaji hata kujadili kwani kila mtu anaona kwa macho yake kazi aliyopewa. Kifupi, Nyerere's country is gone to the dogs, period!
Sent using Jamii Forums mobile app