Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,388
Fuata hatua hizi ili uweze kuitumia laini mpya ya Halotel
JINSI YA KUANZA KUTUMIA HALOTEL
1. Nunua laini na fanya usajiri - Uwe na kitambulisho ( Kwa wale ambao bado hawana laini)
2. Weka katika simu au modem (waweza tumia Dashboard ya modem kwa hatua no. 03 inayofuata)
3. Piga namba yeyote mfano 100, au 0717 54 ** ** -, Utasikia maelezo na Utapokea sms za Taarifa ya kuwa laini iko tayari kwa matumizi.
4. Settings za internet zitakuja automatic, na ikihitahi password weka 1111
5. Baada ya kuwa umepokea sms kadhaa utaona upande wa internet umefunguka na utaweza ku_connect bila shida.
UKIWEKA SETTINGS DIRECT BILA KUFUATA HIZO STEPS HAPO JUU, UNAKUWA_TERMINATED NA HUWEZI PATA CONNECTION
Smart wapo ila hawajapanuka au hawataki huko kupanuka.
tigo pia wana kifurushi cha shilingi 5000 cha mwezi mzima sijui content yake ya dakika ila ni masaa mengi tu na sms zaidi ya 10,000 na mb800,
kwa simu umetest inakubali?
jaribu kueka apn dynamic (isiwe static) uone kama itakubali
setting ndio hizo hizo
Sio Unaingia, Unanunua Credit Maalum, Hazipatikani Sehemu Zote.Uningiaje kiongozi?
yeah settings ni hizo hizo japo configuration wanazotuma kwenye simu ni tofauti kidogo
Inakubidi kwanza uiweke kwenye simu wakikutumia configuration unazi install kwa kuweka 1111 ndo mambo yanakubali
kwa hapa Nilipo ni Vijijini hapakuwepo na 3G hata Roaming ya Voda nimeikuta mwezi jana
Ni mtandao pekee wenye 3G inayoweza stream 480p ya youtube bila buffering wakati Airtel na Vdacom wana 3G lakini hamna cha maana
Zantel na Smart 3G roaming hata kufungua pages ni kwa tabu
una line ya smart? au unaroam kwa vodA
Bundle zao za unlimited ziko vipi?
Uningiaje kiongozi?
Hiyo Wanapunguza Mb, Unapata Mb Ndogo Zaidi Ya Zile Za Kwenye Credit. Mfano, Akipga Hapo Bundle Ya Wiki Watampa Mb70 Wakat Kwenye Vocha Yenywe Unapata Gb1.*149*81#
.. Maana yangu ni kwamba, zile meseji wanazonitumiaga kwamba wamenipa offa ya muda wa maongezi wakati fika situmiagi..wangekuwa wamefanya survey wangejua mi ni mtu wa data na instead offa watakazonipatia iwe kwene data na sio muda wa maongezKuna wanaotumia muda wa maongezi wengi kuliko wa data, usijiangalie wewe tu
Sasa mb800 mkuu??? Airtel ni 4gb na madakika ya kutosha kwa 6000 tu...acha nikomae nao hawa airtel tu!!
Nimenunua line yao na hii ni speed kwa hapa Dodoma Mjini
View attachment 299173