Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,862
- 33,268
Humu inabidi kutumia tafsida vinginevyo utaingia mikononi mwa wageniNimekuelewa mkuu.Tatizo npo pub😂
Humu inabidi kutumia tafsida vinginevyo utaingia mikononi mwa wageniNimekuelewa mkuu.Tatizo npo pub😂
Kabisa 🙆Humu inabidi kutumia tafsida vinginevyo utaingia mikononi mwa wageni
Hapo sasa,hao ndio wazee wa pwani,unafiki unafiki tu.Sasa kwa nini hakumshauri mwendazake jiwe kuacha kuwasema vibaya majikwaani viongozi waliostaafu na kila siku kazi yake ilikuwa kusema nchi imeliwa sana wengine hawajafanya anayofanya yeye?
Instead aliishia kusema aongezewe muda, hiki kizee bado kinanichefua sana