pascaldaudi
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 534
- 96
Eti hao ni CCM! wamezoea kuchakachua kila kitu!!
.....du we mkali sana. Afu hv ulikua unatafuta nn mpaka ukakutana na hii picha mkuu? Ndo mana naipenda jamii forum.
ILE PICHA INAYOONESHA KUWA NI PICHA YA MELI ILIYOZAMA KULE UNGUJA
KUMBE NI UWONGO.ILE NI PICHA YA MELI ILIYOZAMA HUKO UFILIPINO TAR
31/07/2011.KWA TAARIFA ZAIDI FUNGUA HII LINK HAPA CHINI UJIONEE JINSI
TULIVYOPIGWA CHANGA LA MACHO
United Filipino Seafarers
ILE PICHA INAYOONESHA KUWA NI PICHA YA MELI ILIYOZAMA KULE UNGUJA
KUMBE NI UWONGO.ILE NI PICHA YA MELI ILIYOZAMA HUKO UFILIPINO TAR
31/07/2011.KWA TAARIFA ZAIDI FUNGUA HII LINK HAPA CHINI UJIONEE JINSI
TULIVYOPIGWA CHANGA LA MACHO
United Filipino Seafarers
Acha uongo!Picha ile ilianza kutumiwa hapa JF, vyombo vya habari vya IPP na magazeti ya udaku kwa saaana
nikashangaa Spice islander kweli hii mbona imefunikwa yote wakati yenyewe ina cargo mbele na nyumba kwa ajili ya kubeba magari na mzigo mingineyo. walitoa maktaba wakabandika, watz mazuzu
Ni kweli, pitia threads za kwanza jumamosi 10/9/2011Acha uongo!
Acha uongo wako tupe link ya JF yenye picha hiyo na trh na muda maana post zote zina muda wake.
Vyombo vya habari tz vimejaa makanjanja watupu.