Aaah wapi!!,Du! We jamaa unastahili pongezi, baadh ya watz kweli wanasoma, viva jf.
atNi kosa la media zetu.
Kwanza iliwekwa na Television ya the citizen Kenya,kisha ITV na baadaye mahgazeti ya TZ hasa Tanzania Daima NK
Kwa kweli ni aibu sana,nimeumia sana
Thanks kwa kuliona hilo bro,Aaah wapi!!,
Hii kitu nakumbuka aliipost User moja anaitwa Shark halafu mod wakaiunganisha na mada kuu ya kuzama kwa meli,
Possible jamaa kadesa kule,
Ushauri wangu kwa Mods waitoe kule ile topic ya Shark ya kuchakachuliwa kwa picha waiunganishe na hii,
Otherwise na hii nayo waiunge kule kwenye mada kuu pale juu.
Zaidi ya hapo Mods watakua wamechemka tu!!
<br />Thanks kwa kuliona hilo bro,<br />
Wakati kwenye thread ya kwanza nlilalamika jinsi walivyochakachua picha,<br />
Now nalalamika mods kuichakachua ile thread!!
Kwa mimi sikuweza kuamini hata kidogo kwa maswali kadhaa niliyojiuliza:hivi kuna watu waliamini ile picha ni ya meli ya Zanzibar? Come on guys.
We acha tu king'asti wangu,aisee,pole sana papa! kwa hiyo ni uchakachuaji juu ya uchakachuzi? sijui tunaenda wapi manake safari yenyewe ishachakachuliwa!