GE2025 Uchaguzi Zanzibar inadaiwa Makamu Mwenyekiti atoa rushwa kumtetea Mwanae

GE2025 Uchaguzi Zanzibar inadaiwa Makamu Mwenyekiti atoa rushwa kumtetea Mwanae

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Pascal_TZA

Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
35
Reaction score
101
Makamu Mwenyekiti wa UWT
adaiwa kutoa maelekezo wasimamizi wa Uchaguzi kuhusu Mtoto wake Wardat Nassir Ali anayegombea Uwakilishi Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar ili aweze kupata ushindi.

Pia ameonekana akigawa rushwa hadharani kwa wajumbe wa mkutano huo nje ya ukumbi wa mkutano, na wajumbe kuonekana wakizingira gari lake

0681ecc8-0688-4dc7-8331-6aef5737c496.jpeg
2876c83c-de01-4f74-9138-e9dc09538ff3.jpeg
ff0c1320-bfe2-402c-a1af-0d785d3bb5fa.jpeg
 

Attachments

  • 0129c398-d196-4c63-8883-f24db4f59fb4.jpeg
    0129c398-d196-4c63-8883-f24db4f59fb4.jpeg
    145.3 KB · Views: 15
Mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 umeendelea kugubikwa na tuhuma za ukiukwaji wa kanuni, ambapo safari hii Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Bi. Zainabu Shomari amejikuta katika hali ya utata baada ya kuhusishwa na vitendo vinavyotafsiriwa kuwa ni upendeleo wa wazi na kugawa rushwa.

Bi. Shomari, ambaye ni mmoja wa viongozi wa kitaifa wa chama hicho, anadaiwa kuonekana wazi akiwapa maelekezo wasimamizi wa uchaguzi wa ndani ya chama katika Jimbo la Kiembesamaki, Zanzibar. Taarifa kutoka kwa mashuhuda wa tukio hilo zinaeleza kuwa maelekezo hayo yalikuwa na lengo la kumpendelea mgombea Wardat Nassir Ali ambaye pia ni mtoto wake katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Uwakilishi katika jimbo hilo.

1754335456114.png

Aidha, Bi. Shomari pia ametajwa na mashuhuda wakisema alionekana nje ya ukumbi wa mkutano akigawa fedha kwa wajumbe waliokuwa wamezingira gari lake, huku wajumbe hao wakiwa ndiyo wapiga kura katika mchakato huo. Kitendo hicho kimeibua taharuki na malalamiko miongoni mwa wagombea wengine waliokuwa wanashiriki kura za maoni katika jimbo hilo.

Baada ya taarifa hizo kusambaa na waandishi wa habari kumfuata kwa ajili ya maelezo, Bi. Shomari alitoweka ghafla kutoka eneo la tukio. Juhudi za kumpata kwa njia ya simu pia hazikufanikiwa, kwani hakujibu wito wala kutoa kauli yoyote kuhusu tuhuma hizo nzito.

Baadhi ya wagombea waliokuwa wakishiriki mchakato huo wameeleza kusikitishwa kwao na hatua ya kiongozi wa kitaifa wa chama kushiriki vitendo vinavyokwenda kinyume cha misingi ya chama, huku wakiahidi kuwasilisha malalamiko rasmi kwenye vikao vya chama ili hatua stahiki zichukuliwe.
 
We mgalatia uliyerogwa ndio maana huna akili
Ulishawai kusikia wakristo wanatoa rushwa kupigania watoto wao wapumbavu pumbavu wawe viongozi? Hii inathibitisha kuwa waislamu awajui hata maana ya uongozi wala malengo ya uongozi ..mfano mke wa kikwete yupo bungeni kwa manufaa gani ya taifa zaidi ya kula na kun💩 tu bora waislamu mngekuwa mnafanya hivyo kwa watu wenye uwezo ...siku zote waislamu uchukia viongozi makini na bora...
 
Ulishawai kusikia wakrusto wanatoa rushwa kupigania watoto wao wapumbavu pumbavu wawe viongozi? Hii inathibitisha kuwa waislamu awajui hata maana ya uongozi wala malengo ya uongozi ..mfano mke wa kikwete yupo bungeni kwa manufaa gani ya taifa zaidi ya kula na kun💩 tu bora waislamu mngekuwa mnafanya hivyo kwa watu wenye uwezo ...siku zote waislamu uchukia viongozi makini na bora...

Ficha Ujinga wako
 
Ficha Ujinga wako
Wewe siyo mjinga ni msomi wa udsm tatizo lako umekunya akili na kubakisha elimu kichwani hivyo siyo mjina ila ni mpumbavu ..mimi ni mj9nga ila siyo mpumbavu
 
Makamu Mwenyekiti wa UWT
adaiwa kutoa maelekezo wasimamizi wa Uchaguzi kuhusu Mtoto wake Wardat Nassir Ali anayegombea Uwakilishi Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar ili aweze kupata ushindi.

Pia ameonekana akigawa rushwa hadharani kwa wajumbe wa mkutano huo nje ya ukumbi wa mkutano, na wajumbe kuonekana wakizingira gari lake

View attachment 3431472View attachment 3431473View attachment 3431475
Hakuna jipya ni kawaida yao.

Hakuna asiyejua jamaa wanaongoza kwa rushwa.
 
Ulishawai kusikia wakristo wanatoa rushwa kupigania watoto wao wapumbavu pumbavu wawe viongozi? Hii inathibitisha kuwa waislamu awajui hata maana ya uongozi wala malengo ya uongozi ..mfano mke wa kikwete yupo bungeni kwa manufaa gani ya taifa zaidi ya kula na kun💩 tu bora waislamu mngekuwa mnafanya hivyo kwa watu wenye uwezo ...siku zote waislamu uchukia viongozi makini na bora...
Wewe Juha ungejua hizi siasa za kidemokrasia zipo mbali na uislam wala usingeropokwa hivyo
 
Ulishawai kusikia wakristo wanatoa rushwa kupigania watoto wao wapumbavu pumbavu wawe viongozi? Hii inathibitisha kuwa waislamu awajui hata maana ya uongozi wala malengo ya uongozi ..mfano mke wa kikwete yupo bungeni kwa manufaa gani ya taifa zaidi ya kula na kun💩 tu bora waislamu mngekuwa mnafanya hivyo kwa watu wenye uwezo ...siku zote waislamu uchukia viongozi makini na bora...
sasa munahitaji reform ya nini wakati nyinyi ni wasafi na hamtoi rushwa.

hata akili ya kutoa wazo lililonyooka huna
 
sasa munahitaji reform ya nini wakati nyinyi ni wasafi na hamtoi rushwa.

hata akili ya kutoa wazo lililonyooka huna
Wewe pimbi ..katiba iliyopo ni nzuri sana kama viongozi ni wazalendo na ni mbaya sana viongozi wak8wa wahuni ....
 
Mnashangaa rushwa huko
Ndiko kuna kiwanda

Ova
 
Back
Top Bottom