PostGE2025 Uchaguzi wa 2025 Tanzania imeng'ara kwenye magazeti kama nchi ya mauaji na isiyo na demokrasia

PostGE2025 Uchaguzi wa 2025 Tanzania imeng'ara kwenye magazeti kama nchi ya mauaji na isiyo na demokrasia

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Historia ya Tanzania imebadilika ghafla kutokana na udikteta wa Rais Samia, Taifa lililosifika ulimwenguni kwa amani na ukarimu wa raia wake, sasa imekuwa nchi inayozungumzwa kama nchi iliyojaa mauaji, ukandamizaji na udikteta

Vyombo vyetu vya habari vilipuuza sana kuripoti habari za matukio ya kutisha yaliyoendelea nchini lakini kimataifa ukweli ulifichuliwa

Hapa ndipo Rais Samia ametufikisha wakuu

1763011944039.png

1763013286712.png


1763012057078.png

1763012321887.png

1763012736464.png

1763013411297.png

1763013562857.png


1763012233493.png

1763012513786.png


1763011884686.png

1763011991778.png
 
Mtu usiemuamini akikuambia ukweli unaweza kuhisi anakudanganya, kuna jamii bado haitaki kukubali kuwa hizi sio nyakati za kuimba wimbo mmoja tena.
 
Back
Top Bottom