Kingdom Finder
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 1,119
- 1,388
Wana JF ninawaombeni tusaidiane kujadili jinsi ya kufanya katika uchaguzi wa mwaka 2015 ambao unakaribia angalau wizi wa kura kama siyo kwisha kabisa uweze angalau kuwa kidogo maana inavyoelekea kama wizi ukiendelea kuna janga la kuuana sisi kwa sisi kitu ambacho hatutaki kitokee. Je Katiba mpya itaweza kuwa suluhisho. Sina tatizo chama kitakachotawala kama kitapewa kihalali na raia.