mwakajingatky
JF-Expert Member
- May 30, 2018
- 555
- 909
Sidhani! Historia inaonyesha uchaguzi wa wakati ambao mgombea wa CCM anamaliza muda wake ndiyo huwa na kashkash! Uchaguzi wa 2020 utakuwa mrahisi kwa CCM kuliko wa 2015. Sioni mtu yoyote anayeweza kuwa tishio kuliko Lowassa alivyokuwa uchaguzi uliopita. Labda 2025! Mtu ukiwa unafuatilia siasa za Tanzania kupitia kwenye mtandao unaweza kudhani CCM haina hata wiki bila kuondolewa. Lakini unapofanya ziara mwenyewe huko mikoani na kuongea na watu unaona kabisa hakuna tishio lolote kwa CCM. Hata ziara anazofanya Rais Magufuli mikoani hazina dalili yoyote ya rais aliyechokwa na wananchi!
Umekusea mkuu,sins uhakika kama kweli ulikuwa wafwatilia ziara za mkulu mkoani kwa ukaribu...
NB
Uliona alivyokua akilalamikia na kunung`unikia wakazi wa mbalali jinsi walivyo kimya,na kuwa busy na mambo yao akiwa anahutubia?