Kutokana na uchache wa waliojiandikisha na (hopefully) watakaopiga kura.
Wale ma-stering wa KUHAMISHA ATTENTION hawajabaki nyuma. Safari hii wamekuja na hii.
"Jumapili hii Rais anapokea gawio ambalo kimsingi ilibidi lifanyike Jumatatu tarehe 25. Kwa vile leo ni siku ya kupiga kura, anataka ku shift attention ili watu waangalie live (wasahau uchaguzi) kisha Jumatatu magazeti yaripoti kuhusu gawio badala ya kuripoti watu wachache watakao kuwepo kwenye vituo vya kupiga kura".
MAENDELEO YANA VYAMA
Wale ma-stering wa KUHAMISHA ATTENTION hawajabaki nyuma. Safari hii wamekuja na hii.
"Jumapili hii Rais anapokea gawio ambalo kimsingi ilibidi lifanyike Jumatatu tarehe 25. Kwa vile leo ni siku ya kupiga kura, anataka ku shift attention ili watu waangalie live (wasahau uchaguzi) kisha Jumatatu magazeti yaripoti kuhusu gawio badala ya kuripoti watu wachache watakao kuwepo kwenye vituo vya kupiga kura".
MAENDELEO YANA VYAMA