Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,142
- 39,387
pole sana mkuu ndio hivyo tena
Ahsante mkuu
pole sana mkuu ndio hivyo tena
Nyamagana MBUGANI chadema imeshinda, MIRONGO cuf, MWEMBENI chadema..kiujumla CDM wameshinda maeneo mengi sana.. Aidha kuna mgombea wa ccm sweya malimbe amefariki mchana kwa presha. Taarifa zisizo rasmi Bugarika kuna mauaji ya mgombea Msaliti.. Pasiansi ililazimu Polisi waingilie kati maana wananchi walitaka kutumia silaha baada ya kushuku uchakachuaji matokeo.. Kifupi usiku huu mwz town ni shangwe kila kona people's power..
ukerewe wana vijiji 7 tu?hapa ukerewe hali mbaya kwa ccm
BUZEGWE
NAMPISI
MURUTANGA
BOGOLOLA
KWERU
KAZRAKANDA
BUNGUZA
NANSIO MJIN
BWIRU
Yote chadema na mpka sasa wafuas wa chadema buzegwe wanashagilia kwa fujo
Kitendo cha UKAWA kupata viti vya uwenyekiti na ujumbe karibu kila kata nchini... Ni ishara ya kuwa watanzania wa nchi hii wameamua kurudisha nchi mikononi mwao.
Labda kitongojini kwako. Sehemu nyingi chadema wamechukua. Kilakala chadema, bigwa chadema Bong`ola chadema ccm imeshinda wapi?
Ajabu ni kwamba Wenzetu walikuwa wengi Sana kulinda kura wakati sisi hatukuzidi 10 mpaka matokeo yanatangazwa
Kama tutalinganisha takwim za sehemu kura zzilikopigwa itakuwa cdm60%ccm40% ila ukijumlisha mapingamizi ccm 67% ukawa33% fuatilia
Kwa Mara ya kwanza mtaa wangu utaongozwa na CHADEMA Maana CDM kura 700 CCM 260 na wajumbe wote wamekwenda CDM tumejaribu kuokoa chama tumeshindwa kwa Mara ya kwanza nimeonja uchungu Wa kuzomewa na kura zetu za kubumba tunarudi Nazi tukawape mama ntilie wafungie chapati....
ukerewe wana vijiji 7 tu?
Kwa Mara ya kwanza mtaa wangu utaongozwa na CHADEMA Maana CDM kura 700 CCM 260 na wajumbe wote wamekwenda CDM tumejaribu kuokoa chama tumeshindwa kwa Mara ya kwanza nimeonja uchungu Wa kuzomewa na kura zetu za kubumba tunarudi Nazi tukawape mama ntilie wafungie chapati....
hili ndilo limekuwa likuumaliza upinzania mara nyingi kwa kutolinda kura. wamejifunza kwa makosa kuwa kupiga kura ni jambo moja na kulinda jingine. nadhani 2015 ulinzi wa kura za upinzani utakuwa mkali zaidi, muhimu mjikitike kutekelezan ahadi lakini kuiba kura itakuwa ngumu sana.
hili ndilo limekuwa likuumaliza upinzania mara nyingi kwa kutolinda kura. wamejifunza kwa makosa kuwa kupiga kura ni jambo moja na kulinda jingine. nadhani 2015 ulinzi wa kura za upinzani utakuwa mkali zaidi, muhimu mjikitike kutekelezan ahadi lakini kuiba kura itakuwa ngumu sana.
uhalisia ni kuwa cdm ama vyama vingine vilianzishwa ili vikue na si kudumaa,unachokiona ilikua lazima waendelee kutanuka,pengine miaka 25 ijayo wakaweza kubalance level na ccm
Nyamagana MBUGANI chadema imeshinda, MIRONGO cuf, MWEMBENI chadema..kiujumla CDM wameshinda maeneo mengi sana.. Aidha kuna mgombea wa ccm sweya malimbe amefariki mchana kwa presha. Taarifa zisizo rasmi Bugarika kuna mauaji ya mgombea Msaliti.. Pasiansi ililazimu Polisi waingilie kati maana wananchi walitaka kutumia silaha baada ya kushuku uchakachuaji matokeo.. Kifupi usiku huu mwz town ni shangwe kila kona people's power..