Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Tunafanya uchaguzi kupima na kuona ni kwa kiasi gani upinzani upo ma unakubalika/haukubaliki.
Pia tunafanya uchaguzi kuchagua wabunge.
Raisi tunaye na tunamjua.
Huwezi kupima uwezo wa bondia "anaepigana" huku mpinzani wake akiwa amefungwa kamba miguuni na mikononi.