Uchaguzi ndani ya CHADEMA lini?

Wewe niwa kupuuzwa tu kutokana na uwongo wako kwa miaka mingi hapa JF kwa kuwadanganya wana JF kama WEWE ni MTOTO wa Mwl. Nyerere wakati huna hata uhusiano wowote ULE.

Kwahiyo MwanaDiwani hapa unataka kututhibitishia kuwa wewe ndiye mama yake mzazi na Yericko Nyerere? manake mtu anayeweza kuongea kwa kujiamini kabisa kwamba wewe si mtoto wa Madelu (kwa mfano) ni mke wa mzee Madelu aliyebeba mimba na kumzaa mtoto wake akamuita jina la mwanadiwani.
 
Last edited by a moderator:
Acha unafiki wewe washauri Chadema wenzako wachangie.
mkuu najua unaogopa itaku'cost, hahahhahahha

2015 hakutakuwa na madiwani feki, hahahahahahahaha, jiji la mwanza litakucheka tu, loh!
 
Mimi sijasema NENO bali familia ya Mwl. Nyerere ndiyo iliyomtoa nyoka pangoni mwake iliposema hivi,

Hatutaacha kumkumbusha uongo wake aliotenda kwa miaka mingi sana hapa JF kwa kuendelea kudanganya na kudanganya kwa kusema hivi,

 

Mh!! We naona una hamu kuporomoshewa matusi.
 

vijana wa lumumba mnaweweseka sana demokrasi unayoiuliziaCHADEMA ungetuambia kwanza ni kwa kiasi gani CCM mlionyesha kwenye chaguzi zenu.
Lakini kumbuka CHADEMA inaendeshwa kwa kanuni na taratibu muda utakapojiri umma utajulishwa
 

Mkuu MwanaDiwani, hahahahahaha......mbavu zangu, uuuuuuuwwwwi!!!
 
Uongozi katika vyama vya siasa hasavupinzani ni wa urithi na wagombea wa kudumu kama ilivyo kwny urais wagombea wa kudumu hushangai tangu vyama vimeanzaishwa viongozi nibhao hao wanarithiwhana wakwe nk nk
 

What?. You feel sorry for CON MAN anayeitwa Yericko Nyerere . You must be out of this world.

Huyu jamaa lazima ashukuru kwa vile Tanzania hatuna sheria ya kukambana na watu wa aina yake. Kama angekuwa kwenye nchi za watu kwa sasa angekuwa anakabiliwa na shitaka kizimbani la Stalking and pyschological harassment kwenye familia ya Mwl. Nyerere.

Alitakiwa alipe faini au kwenda jela au vyote kwa pamoja kutokana na REPUTATION aliyoipata kutoka ndani na nje ya JF kama ni mtoto wa Mwl. Nyerere kwa jinsi alivyokuwa anadai.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MwanaDiwani, hahahahahaha......mbavu zangu, uuuuuuuwwwwi!!!
Hili siyo swala la kucheka hata kidogo. It's very SERIOUS ISSUE. Hivi unafahamu familia ya Mwl. Nyerere imefedheheka kwa kiasi gani?. Anaweza kuwafidia na kuwarudisha katika hali yao ya kawaida?.

Kwa waingereza hili ni kosa la JINAI lenye kifungo cha miaka MITANO in prison. Yericko Nyerere deserve to go to JAIL for Stalking and psychological harassment kwenye familia ya Mwl. Nyerere.

This is not a laughing matter.
 
Last edited by a moderator:
huyu nyerere feki kiboko yake ni Zitto tu,akisikia jina la zitto anajiharishia.
 
Last edited by a moderator:

Utanipasua mbavu, teh teh teh nilicheka aliniambia eti nisiliongelee swala la familia wameishalimaliza kifamilia na mzee Butiku, mie ninamlaaumu sana Ben Saanane, kwa kulikalia kimya hilo suala.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu uchaguzi tutafanya baada ya ukombozi wa nchi hii kutoka ktk mikono ya mashwahtan ya CCM.
 
CCM MASALIA NAPE,STA NA MEMBE GROUP MZEE WA MDMU A.K.A WA KUZUIA WATU KUJA DAR Joka la mdmu CDM WAPO STRNG HYO NI FALAS
 

MwanaDiwani na yule Madelu aliyeshiriki kuua watu Arusha wana uhusiano?
 
Last edited by a moderator:
Mmmmh! Mkuu MwanaDiwani nimeanza kukuogopa aiseee, kumbe ni vyema kutumia fake ID maana nimeona watu mpo makini sana kufatilia nyendo na maneno ya watu.

Mkuu Yericko Nyerere tafadhili usibishane tena na hawa jamaa wapo kwa kazi maalumu.
 
Last edited by a moderator:

Watu kutaka ukubwa kuonekana matawi? Hii ni aibu.
 
Last edited by a moderator:
Utanipasua mbavu, teh teh teh nilicheka aliniambia eti nisiliongelee swala la familia wameishalimaliza kifamilia na mzee Butiku, mie ninamlaaumu sana Ben Saanane, kwa kulikalia kimya hilo suala.
Hili siyo swala la kucheka hata kidogo. Hii zaidi ya identity thief.

Swala la familia gani wakati familia ya Mwl. Nyerere haimfahamu na haitaki kumfahamu zaidi ya kumpa onyo na hili walilielezea kwa uwazi.

Ben Saanane yupi huyo?. Hakuna mtoto wa Mwl. Nyerere anayeitwa Ben Saanane.
 
chama cha kidicteta, kikabila, kikanda na kidini hakiwezi kufanya uchaguzi wa kidemokrasia. wanasubiri tu 2015

Nilini CCM imekua na uchaguzi wa kidemokrasia..... Hakuna mwanyekiti wa CCM aliyewahi kuondolewa madarakani mpaka kujiuzulu tu ndio kunamuondoa mwenyekiti....tangu mwaka 1977 CCM imekua na wenyeviti wa4 tu yaani kwa miaka 36.... CDM kwa miaka 20 tu imeishapata wenyeviti wa3 tofauti.

Kama CDM ni chama cha kidini na CCM je.... ? Kwa kauli ya mwenyekiti CCM mwenyewe kuwa CUF ni cha chama cha kidini (dini yake mwenyewe) ....... kilichofuata ni muungano wa CCM na udini wa CUF....? na kuzaaa udini dhidi ya CDM? ..... na halafu km CDM ni chama cha kidini na kikanda kina wezaje kushindana na CCM ? yaaani sipati picha ya mantiki hii nashangaa imekua ndio dhana ya ufikiri wa wachovu wa kisiasa wa Tanzania-CCM.

CCM hukiita CDM chama cha kidini (Ukristo) na CUF (Uislam) chenyewe CCM (Upagani) ndio maana wanajihisi wao ndio MUNGU na wanafanya watakalo eti hata kuua ni haki yao wao ... hawa wapagani wasiomuogopa MUNGU eti ndio wanaoongoza taifa hili ndio maana umasikini "umeuvaa taifa hili" manake kusipo na MUNGU hakuna utajiri...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…