MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
Hizi akili za kibavicha bavicha.
Huu hapa ulikuwa wa haki?
View attachment 99863
mkuu mbona wewe ndiye unaandika vituko zaidi mi naona we upo milembe day.Angalia REP power yangu na yako ndio utajua nani katoroka Mirembe....wherever that is anyway
Huu hapa ulikuwa wa haki?
View attachment 99863
Mtei tayari ameshawateua viongozi wa juu hakuna uchaguzi tena mambo ya ukabila
dah, kweli nimeamini chadema ni chama cha wachaga, ukanda na udini
Chaga ndani, meru ndani, hehe ndani, nyakyusa ndani, kuya ndani, safwa ndani, nyih ndani, kinga ndani, bena ndani, zaramo ndani, wazanzibar wale sijui kabila gani ndani, pogolo ndani, masai ndani, sukuma ndani, waswahili ndani...... Ukabila huu na ukanda huu mi naupenda sana....
wengi washika mikoba tu wenyechama wanajulikana.
Wewe niwa kupuuzwa tu kutokana na uwongo wako kwa miaka mingi hapa JF kwa kuwadanganya wana JF kama WEWE ni MTOTO wa Mwl. Nyerere wakati huna hata uhusiano wowote ULE.Haahaaa kwakweli nimecheka mpaka mbavu zikauma! Teheeehe teheee!
Niwashukuru sana uongozi wa JF hasa Mods kwa kuusimamia mjadala huu kwa weledi wa hali ya juu sana! Hii ni heshima kubwa sana kwa JF na Tanzania kwa ujumla!
Mwisho,
Wale mliotaka kunifahamu mimii ni nani hasa? Ninawajibu rasmi!
Naitwa: Yericko Yohanesy Nyerere
Mahali nilipozaliwa: Nyololo, Mufindi, Iringa.
Kabila: Ni Mhehe,
Baba yangu: Yohanes Msambila Nyerere, (marehemu)
Mama yangu: Venancia Geremias Mgimwa,
Elimu: Muhandisi wa Umeme na Compyuta kutoka Chuo cha Beijing Information Technology College China (BITC)
Kazi: Mfanyabiahara, Mwenyekiti Mtendaji wa Umoja wa Makampuni ya YECCO GROUP LTD yanayojishughulisha na Ujenzi wa Majengo, Ujenzi wa Mabarabara, Umeme, Teknohama, Uwakala wa Usafirishaji, Uwekezaji katika Majengo, na Usanifu na Ukadiriaji Majenzi
Kuishi: Kigamboni Mbutu,
Nina mke mmoja na watoto wa wili ambao ni Che-Lee na Su-Yang
NB:
Mimi sina UNDUGU na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, lakini chimbuko la Babu yake na Babu yangu Mzee Msambila Kihulo Lihangawike Nyerere "inasemekana" alikuwa ni wa kaskazini mwa Tanzania!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-tanganyika-na-zanzibar-224.html#post6630081
Doh, mkuu una maanisha ukizungumzia tu uchagu....tayari wanakudonoa??kwanza yule atakayeleta hoja ya uchaguzi lazima afe mapema ndani ya chadema.
matarajaio yenu ni kuona uchaguzi ukifanyika na wale viongozi wote wanaitoa jasho ccm hawachaguliwi, uchaguzi upo na muda utafika, chama hakiwahusu kelele lundo nyie watu mna matatizo sana eeeh !
Mnataka wajikusanye wote hasa wale wanaowakosesha usingizi, ili muwatupia bomu?
Wewe niwa kupuuzwa tu kutokana na uwongo wako kwa miaka mingi hapa JF kwa kuwadanganya wana JF kama WEWE ni MTOTO wa Mwl. Nyerere wakati huna hata uhusiano wowote ULE.
Ulikuwa unajitahidi kuharalisha kama una fahamu mengi kuhusu Mwl. Nyerere kwa kuwa active katika maswala yanayohusu familia ya Mwl. Nyerere mpaka pale Andrew Nyerere na Mzee Butiku walipotaka kujua kwa nini unatumia jina la Mwl. Nyerere ndiyo ukaja hapa JF ku-preempty kwa statement hii, huku ukitaka bado tuamini kuna mahusiano kwa mbali na Mwl. Nyerere kwa vile jina linafanana. Siku za mwizi ni arobaini.
Sura za watoto wa Mwl. Nyerere haziko hivi bila hata ya kuchukua prove of Deoxyribonucleic acid (DNA)
Mh. Mbowe amemuoa mtoto wa mwenye CHADEMA. Kwa hali ya namna hiyo unaweza kuona kabisa kwamba CHADEMA ni mali ya familia na hakuna wa kuweza kumtoa Mh. Mbowe kwenye nafasi yake ndani ya CHADEMA.