BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,911
msidanganye watu eti demokrasia wakati CCM inaendeshwa kwa koo za Kawawa,Mwinyi,Malecela,Kikwete,Nnauye,Makamba,Karume,Nyerere,Sokoine zinarithishana vyeokuna haja ya kuweka ukomo wa watu kushika madaraka ndani ya vyama ili kukuza demokrasia