Uchaguzi ndani ya CHADEMA lini?

Uchaguzi ndani ya CHADEMA lini?

kuna haja ya kuweka ukomo wa watu kushika madaraka ndani ya vyama ili kukuza demokrasia
msidanganye watu eti demokrasia wakati CCM inaendeshwa kwa koo za Kawawa,Mwinyi,Malecela,Kikwete,Nnauye,Makamba,Karume,Nyerere,Sokoine zinarithishana vyeo
 
Hapo ndipo ninapochoka na chadema,hakuna kitu,ni kagroup fulani daima hakawezi kuongoza nchi
 
Mimi ni chadema damu,lakini hili la kutofanya chaguzi kuanzia walau wilaya hadi taifa,litanitoa chadema.
 
Tundu lissu ni mwanasheria anayejiita mwanasheria mtetea haki za BINADAMU.Tunaomba atumie uwezo wake kuhakikisha katiba ya CHADEMA inaheshimiwa na uchaguzi unafanyika ndani ya CHADEMA kuanzia chini hadi juu.Hakuna sababu ya CHADEMA kujiita chama cha kidemokrasia wakati ndani ya Chadema demokrasia ya uchaguzi huru na haki haupo na uchaguzi unakwepwa.Watu wanakwepa na kuteleza kama samaki majini ukiwaambia uchaguzi huru na haki uitishwe.Wanaruhusu watu wapige kelele kwa nguvu za PEOPLES POWER mikutano ya nje lakini wakifika ndani hawaruhusiwi kupiga peoples power ndani ya chadema ifanye uchaguzi.Peoples power ni pamoja na kuruhusu (people) wanachama wachague viongozi.Suala la kung`ang`ania kuwa waliopo waendelee tu kwa kuwa wanaweza si demokrasia kama wanaonekana wanaweza kura zifanyike kama katiba inavyotakas watu wawapigie kura bila shaka kama ni kweli wanawaona wanaweza watawapa kura zote za ndiyo.Wanaogopa nini kupigiwa kura?

Chama chochote cha demokrasia,demokrasia huanza kuonekana ndani ya chama chenyewe.Kama katiba yake hawaiheshimu si cha kidemokrasia ni cha kidikteta kinachotumia neno demokrasia kuficha makucha yake.Tunataka wale wapiga kelele wa CHADEMA mnaopiga kelele za peoples power mpige hiyo kelele ndani ya CHADEMA ifanye chaguzi sawa sawa na katiba ya Chadema inavyotaka na Tundu Lissu kama ulivyovalia njuga suala la katiba ya nchi valia njuga kwanza hilo vinginevyo usipofanya hivyo tutakujua kuwa ndio wale wale tofauti majina na vyama.

Msajili wa vyama naye asome katiba za vyama ajue zinatakiwa zifanye chaguzi zake lini na afuatilie na kushinikiza vifanye chaguzi.Kazi yake si kusajili tu chama halafu akimaliza anakaa tu na kula kuku kwa mrija kwa hela za walipa .Aviandike vyama ambavyo vinakiuka katiba zao vifanye chaguzi ikiwemo CHADEMA vinginevyo na yeye raisi amfungishe virago atafute msajili wa vyama vya siasa mwingine.Tunataka vyama serious vinavyosimamia katiba zao.

Msajili wa vyama tunaomba shinikiza uchaguzi ufanyike kama katiba ya chadema inavyotaka.Wakikataa hatua za kuchukua unazijua vizuri sina haja ya kukufafanulia.
 
Uchaguzi ulifanyika 2009 unaofuata 2014,kama vp mbona magamba mnataka uchaguzi uchaguzi uchaguzi tu chadema Mtanufaikaje? Mwambieni MREMA KWANZA AITISHE TLP
 
Unakurupuka.Katiba ya CHADEMA ipo wazi

Uchaguzi ulifanyika 2009 na miaka 5 inaisha 2014.

Msajili wa vyama anayo katiba ya vyama vyote.Acha kufuata mkumbo na kujianzishia thread kujaza server bure hapa.

Ungekua na nia nzuri ungeuliza ili ufahamishwe
 
Athubutu aone kama hawajamtimua!,yeye wanamtumia tu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye masuala ya chama.wanamtumia kwenye kesi zinazowahusu wabunge wa chadema pamoja na chama,lakininhawezi kusema aisute chadema watamtimua asubuhi tu.
 
kwani lissu ni wa kaskazini?
Hana uwezo huo, labda akaoe kwa mtei kama mbowe.
Dr kashasema wanajenga chama kwanza, uchaguzi utafanyika chama kikisha jengwa.
Hajasema 2014, amesema mpaka chama kiwe imara, hatakama ni 2020.
Hicho ndo chama cha demokrasia.
 
kwani lissu ni wa kaskazini?
Hana uwezo huo, labda akaoe kwa mtei kama mbowe.
Dr kashasema wanajenga chama kwanza, uchaguzi utafanyika chama kikisha jengwa.
Hajasema 2014, amesema mpaka chama kiwe imara, hatakama ni 2020.
Hicho ndo chama cha demokrasia.

Tena na hivi wanaendelea kutumia fedha vibaya kwa kutalii nje ya nchi chama kuwa imara labda mpaka 2040 ndipo uchaguzi utafanyika,kwa sababu kwa sasa saccos bado inatunisha mfuko!
 
Wana CCM naona CDM imewakamata pabaya ndo maana wanang'ang'ania CDM ifanye uchaguzi hata kabla ya muda ili wapenyeze mapapeti wao wavuruge chama CCM ipate kupumua. Nawashauri CDM msifanye uchaguzi mpaka baada ya Uchaguzi mkuu 2015.sisi wafuasi wenu tunakubaliana na uongozi uliopo, asieridhika ajiondoe katika chama mbona vyama viko tele unang'ang'ania CDM una agenda gani? Huu ni wakati wenu CCM kufa kwa presha kama si kisukari.
 
kwani lissu ni wa kaskazini?
Hana uwezo huo, labda akaoe kwa mtei kama mbowe.
Dr kashasema wanajenga chama kwanza, uchaguzi utafanyika chama kikisha jengwa.
Hajasema 2014, amesema mpaka chama kiwe imara, hatakama ni 2020.
Hicho ndo chama cha demokrasia.

Hii ni propaganda, Dr Slaa hakusema uchaguzi utafanyika chama kikiwa imara hata kama ni 2020.
Dr alisema Uchaguzi utafanyika tutakapomaliza yale mambo ya ndani ambayo siyo lazima ayataje hadharani yatakapoisha. Lakini uchaguzi lazima ufanyike kabla ya Dec 2013, kwa sababu uchaguzi wa kabla ulifanyika DEC 2009. Nadhani umenielewa. Vinginevyo unatujazia Seva kama Ben alivyodai hapo juu.
 
Tundu lissu ni mwanasheria anayejiita mwanasheria mtetea haki za BINADAMU.Tunaomba atumie uwezo wake kuhakikisha katiba ya CHADEMA inaheshimiwa na uchaguzi unafanyika ndani ya CHADEMA kuanzia chini hadi juu.Hakuna sababu ya CHADEMA kujiita chama cha kidemokrasia wakati ndani ya Chadema demokrasia ya uchaguzi huru na haki haupo na uchaguzi unakwepwa.Watu wanakwepa na kuteleza kama samaki majini ukiwaambia uchaguzi huru na haki uitishwe.Wanaruhusu watu wapige kelele kwa nguvu za PEOPLES POWER mikutano ya nje lakini wakifika ndani hawaruhusiwi kupiga peoples power ndani ya chadema ifanye uchaguzi.Peoples power ni pamoja na kuruhusu (people) wanachama wachague viongozi.Suala la kung`ang`ania kuwa waliopo waendelee tu kwa kuwa wanaweza si demokrasia kama wanaonekana wanaweza kura zifanyike kama katiba inavyotakas watu wawapigie kura bila shaka kama ni kweli wanawaona wanaweza watawapa kura zote za ndiyo.Wanaogopa nini kupigiwa kura?

Chama chochote cha demokrasia,demokrasia huanza kuonekana ndani ya chama chenyewe.Kama katiba yake hawaiheshimu si cha kidemokrasia ni cha kidikteta kinachotumia neno demokrasia kuficha makucha yake.Tunataka wale wapiga kelele wa CHADEMA mnaopiga kelele za peoples power mpige hiyo kelele ndani ya CHADEMA ifanye chaguzi sawa sawa na katiba ya Chadema inavyotaka na Tundu Lissu kama ulivyovalia njuga suala la katiba ya nchi valia njuga kwanza hilo vinginevyo usipofanya hivyo tutakujua kuwa ndio wale wale tofauti majina na vyama.

Msajili wa vyama naye asome katiba za vyama ajue zinatakiwa zifanye chaguzi zake lini na afuatilie na kushinikiza vifanye chaguzi.Kazi yake si kusajili tu chama halafu akimaliza anakaa tu na kula kuku kwa mrija kwa hela za walipa .Aviandike vyama ambavyo vinakiuka katiba zao vifanye chaguzi ikiwemo CHADEMA vinginevyo na yeye raisi amfungishe virago atafute msajili wa vyama vya siasa mwingine.Tunataka vyama serious vinavyosimamia katiba zao.

Msajili wa vyama tunaomba shinikiza uchaguzi ufanyike kama katiba ya chadema inavyotaka.Wakikataa hatua za kuchukua unazijua vizuri sina haja ya kukufafanulia.
Atumie katiba ya chama gani? Uchaguzi ulifanyika 2009 na mwingine unatakiwa kufanyika 2014... Sasa wewe unataka afanye leo?
 
Athubutu aone kama hawajamtimua!,yeye wanamtumia tu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye masuala ya chama.wanamtumia kwenye kesi zinazowahusu wabunge wa chadema pamoja na chama,lakininhawezi kusema aisute chadema watamtimua asubuhi tu.
Hivi unafanya kazi wakati gani? Maana siku nzima upo jamiiforums
 
kwani lissu ni wa kaskazini?
Hana uwezo huo, labda akaoe kwa mtei kama mbowe.
Dr kashasema wanajenga chama kwanza, uchaguzi utafanyika chama kikisha jengwa.
Hajasema 2014, amesema mpaka chama kiwe imara, hatakama ni 2020.
Hicho ndo chama cha demokrasia.
Ni wa kusini eeeh!!!... CCM si chama cha kidini wala kikabila eeeh?!!...
Angalia hapa kwa miaka zaidi ya 50 (tangu uhuru kupatikana):
1. kimekuwa na mawaziri wakuu wawili WAISLAMU - SALIM AHMED SALIM na Rashid Mfaume kawawa;
2. Mzanzibari mmoja kati ya hao 10 - Salim;
3. Mikoa ya kusini mmoja - Rashid;- Mtwara na lindi hakuna..
4. Mbeya, Iringa, Rukwa na njombe hakuna.
5. Ukanda wa magharibi (katavi) mmoja - Pinda;- Tabora na Kigoma hakuna.
6. kanda ya kati (Dodoma) mmoja kati ya kumi - Samwel John Malecela..
7. Singida, Morogoro, hakuna.
8. Dar es Salaam, Tanga na Pwani hakuna;
9. Kagera, Mwanza, Geita, Simiyu, Manyara na Shinyanga hakuna
10. kaskazini 6 kati ya 10 - Nyerere na Warioba (MARA); Cleopa Msuya (Kilimanjaro); Sokoine, Lowasa na Sumaye - ARUSHA!!!!!!!!!!!!!!!!

NB: CCM ni chama cha kaskazini, kilichojaa ubaguzi wa kikanda, udini na ukabila!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Jaman nenda mahospitalini ujue Ni nini cha kudiscuss,tuna mambo mengi ya kuongelea na sio majungu Tu ya kila siku kuzungumzia vyama badala ya maendeleo ya taifa kwa ujumla.hebu chek Leo hii maji Dar Ni tatizo je Kule kalenga kukoje?
 
Hivi unafanya kazi wakati gani? Maana siku nzima upo jamiiforums

Hapa wewe uko wapi?!nilishatafuta pesa za kutosha nitakula mpaka siku nitakayokufa,mimi sio wewe unaetegemea uandike ujinga humu ili ulipwenna chadema au lumumba,mi najitegemea we mtoto wa kike vipi?!
 
jamani muda wa uchaguzi si bado? wana mwaka mmoja mkononi, mbona mmeng'ang'ania mnataka kuweka mapandikizi nn? tumewashtukia, msilazimishe wavunje katiba ya chama, alafu mnaolalamika hata hamhusiki kwa lolote. shame upon u
 
Ile ratiba walioitoa na kuisambaza nchi nzima ikionyesha kuwa uchaguzi ni mwaka huu,ni ya kihuni au?
 
Back
Top Bottom