Hawa ma-CDM Kaskazini wana roho mbaya sana, na naamini kuwa hata hawa ma-CDM wanosuport ujinga huu NI WA KASKAZINI KAMA Ndesa.. Nina mashaka hata yakipata nchi kwenye miaka 300 ijayo yatakuwa hayafuati katiba. Nani anaweza kuamini mijitu ambayo haifuati katiba yao yenyewe aipe hata kipande kidogo sana cha ardhi. Na badala ya mijitu humu ndani kushinikiza katiba ifuatwe na yenyewe ipate uongozi kwa akili ndogo tu yanakubali yenyewe yaendelee kupiga makofi na kuachwa jangwani yakipigwa jua kila kukicha. Sikubali ujinga huu Uchaguzi lazima na sisi wa kusini, magharibi ,mashariki, kati na nyanda za juu tuchukue usukani. Nyie mijitu ya kaskazini humu ndani muda wenu umeisha la sivyo PATACHIMBIKA