Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,333
- 24,218
Rais Samia kapiga kipyenga,
Sasa siasa za ushindani wa sera, vyama na watu wenye mvuto, haiba na weledi wa kutetea wananchi zitaanza.
Baada ya Magufuli kudominate single handedly siasa za nchi kwa kuwaweka lock up vyama vya siasa, wapinzani au wenye maoni tofauti NDANI ya CCM kupigwa pini, kuchagua binafsi nani aingie na nani asiingie Bungeni, sasa hayo yote yamekufa na Magufuli.
Wana CCM tukae chonjo, sasa si siasa za kuabudu na kusifu na uchawa, bali matarajio ya wananchi kimaendeleo.
Kwa sparring partners wenzetu wa upinzani, wasijeturudisha nyuma kwa kuanza matusi, kejeli na mambo kama hayo.
Hatujasahau kidole cha kati Sugu alichotia Bungeni.
Tusirudi huko.
Mama Samia katurudishia siasa zinazohitaji ustaarabu binafsi wa wanasiasa wote na vyama vyao, namshukuru sana kwa hilo.
Natabiri kinyang'anyiro kikali uchaguzi wa 2025.
Na bunge litakalo tokana na uchaguzi huo litakuwa pengine bora zaidi katika kipindi kirefu cha hivi karibuni.
God Bless Tanzania.
Sasa siasa za ushindani wa sera, vyama na watu wenye mvuto, haiba na weledi wa kutetea wananchi zitaanza.
Baada ya Magufuli kudominate single handedly siasa za nchi kwa kuwaweka lock up vyama vya siasa, wapinzani au wenye maoni tofauti NDANI ya CCM kupigwa pini, kuchagua binafsi nani aingie na nani asiingie Bungeni, sasa hayo yote yamekufa na Magufuli.
Wana CCM tukae chonjo, sasa si siasa za kuabudu na kusifu na uchawa, bali matarajio ya wananchi kimaendeleo.
Kwa sparring partners wenzetu wa upinzani, wasijeturudisha nyuma kwa kuanza matusi, kejeli na mambo kama hayo.
Hatujasahau kidole cha kati Sugu alichotia Bungeni.
Tusirudi huko.
Mama Samia katurudishia siasa zinazohitaji ustaarabu binafsi wa wanasiasa wote na vyama vyao, namshukuru sana kwa hilo.
Natabiri kinyang'anyiro kikali uchaguzi wa 2025.
Na bunge litakalo tokana na uchaguzi huo litakuwa pengine bora zaidi katika kipindi kirefu cha hivi karibuni.
God Bless Tanzania.