Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

mshindi alishajulikana hata uchaguzi haujatangazwa soka la bongo mimavi tuu
 
matokeo rasmi bado
hayajatangazwa uyo jamaa anazingua, tatizo kuna pilika pilika zisizo za
msingi

hawa tff vp, si watutangazie hayo matokeo basi, hawajui na sisi wanatuchelewesha kuingia kwenye ofisi zetu za soka kuanza kazi, ndio mida hii! wizi t
 
mshindi alishajulikana hata uchaguzi haujatangazwa soka la bongo mimavi tuu

We utakuwa kambi ya Nyamlani.aliyewadanganya mumsimamishe huyu mbovu ni nani?si bora hata mngemsimamisha Wema Sepetu.ok,poleni sana na jaribuni tena elfu 2 na kumi na.....
 
Hawa tff wanatengeneza mazingira ya wagombea walioshindwa ili waje wayakatae matokeo. Hovyo sana.kura 126 masaaaa!
 
Au hizo kura 126 wanatakiwa watu baki126 nje ya wajumbe, ili kila mtu apewe kura moja ndio wahesabu watu, mana wanaingia ktka guiness book kwa kura 126 kuhesabiwa masaa yote hayo!!
 
Hawa tff wanatengeneza mazingira ya wagombea walioshindwa ili waje wayakatae matokeo. Hovyo sana.kura 126 masaaaa!
 
W. J. Malecela haya chukuwa loser mwenzako Athumani Nyamlani nenda naye kamsaidie kukusanya pesa za rushwa mahakama ya kinondoni.

Na nakuahidi kubabake huyu Nyamlani alivyotesa watu kwa kupenda rushwa lazima nimlipuwe na za moto za Takukuru.

Hongera wajumbe wa TFF kwa kupokea rushwa za Nyamlani na kumchinjia baharini.

Nyamlani amevuna alichopanda kitendo tu cha kushabikiwa na jitu jinga kama Le totoz Malecela basi kulishamuondolea sifa kabla hata ya kuja kugunduwa kumbe huyu shetani Nyamlani amebobea kwenye kula rushwa.
 
Last edited by a moderator:
Mbona Malinzi kashinda kwa 78% na Nyamlani aliondoka ukumbini hata kabla kuhesabu hakujamalizika
 
W. J. Malecela haya chukuwa loser mwenzako Athumani Nyamlani nenda naye kamsaidie kukusanya pesa za rushwa mahakama ya kinondoni.

Na nakuahidi kubabake huyu Nyamlani alivyotesa watu kwa kupenda rushwa lazima nimlipuwe na za moto za Takukuru.

Hongera wajumbe wa TFF kwa kupokea rushwa za Nyamlani na kumchinjia baharini.

Nyamlani amevuna alichopanda kitendo tu cha kushabikiwa na jitu jinga kama Le totoz Malecela basi kulishamuondolea sifa kabla hata ya kuja kugunduwa kumbe huyu shetani Nyamlani amebobea kwenye kula rushwa.
 
Last edited by a moderator:
W. J. Malecela haya chukuwa loser mwenzako Athumani Nyamlani nenda naye kamsaidie kukusanya pesa za rushwa mahakama ya kinondoni.

Na nakuahidi kubabake huyu Nyamlani alivyotesa watu kwa kupenda rushwa lazima nimlipuwe na za moto za Takukuru.

Hongera wajumbe wa TFF kwa kupokea rushwa za Nyamlani na kumchinjia baharini.

Nyamlani amevuna alichopanda kitendo tu cha kushabikiwa na jitu jinga kama Le totoz Malecela basi kulishamuondolea sifa kabla hata ya kuja kugunduwa kumbe huyu shetani Nyamlani amebobea kwenye kula rushwa.
 
Last edited by a moderator:
Eti oooh Nyamlani ndio mgombea pekee wa Urais TFF! Kiko wapi sasa?

FIFA oyeeeee! Sasa hata Michael Wambura atakuwa na haki ya kugombea TFF.
 
Naona J malinzi alidhamiria kuwa Rais wa TFF hongera zake wanasema HAKI ya MTU haipotei!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…