ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,823
Kuna hizi nyumba wanazofikia marais wakiwa mikoani katika ziara Mimi Naziita ikulu ndogo sijui kama nakosea ila zinajulikana zaidi kama rest house.
Nyingi ya nilizoziona mimi mikoani naziona ni za kizamani sabab zimejengwa muundo mfupi Paa ni fupi labda kidogo ukute zimepigwa rangi tu upya.
Kwa kuwa tunayo matumizi lukuki ya anasa mfano manunuzi ya v8 basi tuweke na kipaumbele hizi ikulu sio ikulu inazungukwa na Majengo ya watu binafsi ya maana wakati serikali inazo ofisi nyingi tu kwanini ishindwe mikoani na hazizidi 20 ambazo hazina hadhi.
Nyingi ya nilizoziona mimi mikoani naziona ni za kizamani sabab zimejengwa muundo mfupi Paa ni fupi labda kidogo ukute zimepigwa rangi tu upya.
Kwa kuwa tunayo matumizi lukuki ya anasa mfano manunuzi ya v8 basi tuweke na kipaumbele hizi ikulu sio ikulu inazungukwa na Majengo ya watu binafsi ya maana wakati serikali inazo ofisi nyingi tu kwanini ishindwe mikoani na hazizidi 20 ambazo hazina hadhi.