IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Watu wa Musoma wanajulikana kwa kusimamia haki zao!
Salamu kuelekea 2015.Hongera CDM mkombozi wa wanyonge
ni kaskazini mwa nchiKuna wanamagamba watasema Musoma ni kaskazini. Jamani,CHADEMA ni chama takiwa,CCM chama kataliwa...
salamu kwa Nyambari Chacha Maliba Nyangwine
hivi Musoma iko Moshi?
Safiiiiiiiiiiiiii sana!