Kiganyi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,242
- 765
Kama manavyofahamu kwa kanuni za halmashauri, Naibu wa Meya hchaguliwa kila baada ya mwaka mmoja. Naibu Meya Angela derrick Lima(CHADEMA) amemaliza muda wake kikanuni na hivyo hii inawalazimu waheshimiwa Madiwani kutoka vyama vyote vyenye uwakilishi katika Baraza hili kuchaguwa mtu mwingine wa kukalia kiti hiki! Kinachoendelea hapa kwa sasa ni waheshimiwa kuwasili ukumbini na shughuli itaanza punde! Kumbuka CCM, CHADEMA, CUF wote wana wawakilishi ila CHADEMA ndio wengi ...... More updates in a minute...
UPDATES...
Mstahiki Meya amekwisha fika hapa, Dua imesomwa, na sasa anatoa maneno ya utangulizi, kuna uchaguzi wa N/Meya, uchaguzi wa Kamati mbili za Kudumu na kupokea Report ya maendeleo ya Mwaka, Agenda zote zimethibitishwa.
Shuguli zilizotekelezwa na Halmashauri ya Manispaa ya Musoma
kushiriki katika zoezi la kusafisha kumbukumbu za watumishi
.....
Kinachoendelea hapa ni kusomwa kwa taarifa ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Manispaa
uchaguzi umemalizika Mgombea wa CHADEMA Mh Nyamwero amepata 13, huku Mh Jamal wa CCM amelamba 4 tu, huu ni mwendelezo wa kipigo kikali kinachoendelea kutolewa na peoples....
Mgombea wa CUF amekula kona ....
UPDATES...
Mstahiki Meya amekwisha fika hapa, Dua imesomwa, na sasa anatoa maneno ya utangulizi, kuna uchaguzi wa N/Meya, uchaguzi wa Kamati mbili za Kudumu na kupokea Report ya maendeleo ya Mwaka, Agenda zote zimethibitishwa.
Shuguli zilizotekelezwa na Halmashauri ya Manispaa ya Musoma
kushiriki katika zoezi la kusafisha kumbukumbu za watumishi
.....
Kinachoendelea hapa ni kusomwa kwa taarifa ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Manispaa
uchaguzi umemalizika Mgombea wa CHADEMA Mh Nyamwero amepata 13, huku Mh Jamal wa CCM amelamba 4 tu, huu ni mwendelezo wa kipigo kikali kinachoendelea kutolewa na peoples....
Mgombea wa CUF amekula kona ....