Sina hakikaBila Tume huru ya Uchaguzi hawashiriki uchaguzi wowote!!!
Chadema haitoshiriki Ibada ya Shetani .Nimeshamsikia mkurugenzi wa tume ya uchaguzi ndugu Kailima akitangaza uchaguzi mdogo wa mbunge na madiwani.
Chadema msijidai hamshiriki njooni uwanjani tutest mitambo.
Nilidhani mtafurahi kuchukua ushindi wa mezani!!!Msajili wa vyama ifike mahali vyama visivyoshiriki uchaguzi vifutwe.
Umenichekesha we faraMsajili wa vyama ifike mahali vyama visivyoshiriki uchaguzi vifutwe.
Nani aingize timu ikiwa mmeshapiga tiki kwa mgombea wenu!!!ushindi wa mezani kivipi?mtanange umeshatangazwa kama mna guts ingizeni timu
Mkurugenzi,polisi wenu ndo watasimamia??wekeni tume huru ya uchaguzi muone.refa wenu,uwanja wenu.lazima mshindeushindi wa mezani kivipi?mtanange umeshatangazwa kama mna guts ingizeni timu
Kwao ni rahisi kuuza na kutoa sadaka rasilimali za nchi kuliko kuboresha Katiba na taasisi za nchi ili kuongeza ufanisi.Mkurugenzi,polisi wenu ndo watasimamia??wekeni tume huru ya uchaguzi muone.refa wenu,uwanja wenu.lazima mshinde
CCM wanayohabari tangu mwezi wa sita na walikwisha anza kujipanga.Nimeshamsikia mkurugenzi wa tume ya uchaguzi ndugu Kailima akitangaza uchaguzi mdogo wa mbunge na madiwani.
Chadema msijidai hamshiriki njooni uwanjani tutest mitambo.
Tume "huru" inakuwaje?Bila Tume huru ya Uchaguzi hawashiriki uchaguzi wowote!!!
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Huyo msajili ni sehemu ya uchafu kwenye chaguzi hizi. Ni bora yafanyike mapinduzi ya kijeshi ili kama nchi tuanze upya. Kuendelea kushiriki kwenye chaguzi hizi za kishenzi ni kukosa akili.Msajili wa vyama ifike mahali vyama visivyoshiriki uchaguzi vifutwe.
Tuwe na guts kwenye chaguzi za kishenzi?ushindi wa mezani kivipi?mtanange umeshatangazwa kama mna guts ingizeni timu
Haifuati anachotaka rais na chama chake. Enzi za kupotezea watu muda wakati na mna matokeo mfukoni umepita, ni aidha machafuko, au mapinduzi ya kijeshi ili tuanze upya katika utawala wa nchi hii.Tume "huru" inakuwaje?
Mbona mnaanza kujihami mapema namna hiyoNimeshamsikia mkurugenzi wa tume ya uchaguzi ndugu Kailima akitangaza uchaguzi mdogo wa mbunge na madiwani.
Chadema msijidai hamshiriki njooni uwanjani tutest mitambo.
Kwa ushauri wa jingalaoMsajili wa vyama ifike mahali vyama visivyoshiriki uchaguzi vifutwe.