igp mwigilu in action!!!
siku za muuaji nchemba zinahesabika
igp mwigilu in action!!!
Daku hawali kwenye madirisha ya watu hawa ni wezi tu,baada ya serikali kuvunja mtandao wa ujambazi Arusha vijana wanahaha kwa kupitia njia mbalimbali ikiwepo siasa.
Asante kwa taarifa.
Please kama una namba za simu za hao wakubwa wa polisi hapo Arusha, tuwekee hapa mara moja ili sisi wapenda haki tuwape Threat kidogo hao mbwa wa CCM.
Wao si wanasema wamepewa order kutoka juu na sisi tutawapigia simu na 'kuwapa Order' kutoka juu zaidi.
Ni mpango maalum wa ccm,ulio ratibiwa na Mwigulu Nchemba na baadhi ya wajumbe nikiwepo mimi,ambapo tumelenga kukichafua chadema,kwa kufanya yafuatayo-
tumeleta vijana kutoka Singida,Morogoro na Dodoma na wapo hapa Arusha tokea wiki 2 zilizopita waki onyeshwa baadhi ya mitaa ya jiji,vijana hao wamepatiwa skafu,bendera na nguo zinazo onyesha kuwa wao ni cdm,kisha baada ya kukamatwa kwa huyo mgombea wamepewa maelekezo ya namna ya kuandamana na kufanya fujo kwa kujifanya wao ni wakereketwa na wapaga kura wa huyo mgombea kushinikiza huyo mgombea aachiliwe huru lengo ni kuonyesha uma kuwa cdm wanafanya vurugu ili uchaguzi uahirishwe tena (hii ni kwa mujibu wa kikao tulicho kifanya jana na kumalizika saa 6 usiku),ikumbukwe kuwa vijana hao ni Green Guards,na waliletwa kwa lengo la kudhuru na kujeruhi wapiga kura,baada ya kuona cdm wanataka kuanzisha Red brigade tukaamua kutumia hiyo njia mbadala ili tusionekame na sisi tuna Green Guard,mimi ni mjumbe wa kamati ya ccm mkoa wa Dodoma kwa upande wa UVCCM(nipo kambi ya Membe),na niko hapa Arusha tokea Jumapili kwa masuala ya kichama,nimeamua kuleta uzi huu kuwapa tahadhari wana cdm na viongozi wao akiwepo mbunge Lema kujitahidi kufuata misingi ya amani na utulivu kuanzia leo,Jumamosi na Jumapili kwasababu kuna mitego mingi sana mmewekewa ili mjikanyage tu na huo uchaguzi usifanyike,
Lengo hasa ni nini-
Kwa mujibu wa tathmini tuliyo ifanya kutokana na vikao vyetu tulivyo vifanya tokea Jumanne ni kwamba CCM kushinda kwa hapa Arusha ni ngumu sana,na ndio maana baadhi ya viongozi wa Chama hapa Arusha wameanza kukata tamaa na kuamua kukisaidia chama cha CUF ili angalau waweze kumwokoa meya wa jiji asiondolewe kwenye hiyo nafasi chadema wakishinda,
NAWASILISHA
Utaongea na kumaliza yoote!...habari ya mujini ni kwamba Arusha ni ya Chadema...pole sana!Hawa ni wapiga kabali wa Lema
Kufuatia matumizi mabaya ya vyombo vya dola dhidi ya viongozi, wanachama na wapenzi wa CHADEMA nchi nzuma, serikali ya CCM inapaswa kuamua kufuta mfumo wa vyama vingi rasmi ili tupate uhalali wa kuingia msituni. Imetosha sasa.
HAKIKA TUMECHOKA.
Kwani Mbowe alisema tuanzishe au tuimarishe mafunzo. Anyway, tulijua kwa vyovyote vile uchaguzi wa Arusha ungevurugwa tu. Maana CCM hawapo tayari kupata aibu ya mwaka ya kupoteza zile kata zote nne. Walikuja na strategy ya kwamba mgombea mmoja kahamia CCM, ikakanushwa, sasa wameona bora kuwakamata tu wagombea. Its pity!Kumbe mmeisha anzisha Red Brigade, sasa wameshindwa kumsaidia huyo mgombea.
Au unataka wafanye biashara ya madawa ya kulevya kama wazazi wenu?Sasa hao Red Brigade wameishindwa kupambana pamoja na kupata mafunzo ya kijeshi nao wamekamatwa kama kuku.
Red Brigade iliyopo sasa haikuwahi kupata mafunzo yoyote. Chadema haina mahali pa kuwaweka ili iwape mafunzo. So ni vijana wa mtaani tu waliojitolea kulinda, lakini hakuna mafunzo ya kijeshi. Ndiyo maana Mbowe alisema mafunzo yao yaimarishwe na si ianzishwe.Sasa hao Red Brigade wameishindwa kupambana pamoja na kupata mafunzo ya kijeshi nao wamekamatwa kama kuku.
Hawa ni wapiga kabali wa Lema