Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Polisi wanajaribu kufanya kitu ili vijana wa chadema waka react, lengo lao la kutaka kuahirisha uchaguzi litimie
Kama ni hivyo basi wasipewe nafasi...
Hivi wanadhani wakishinda hivyo viti vya Arusha kwa mizengwe ndiyo watakuwa wamerejesha uhai wa chama?