Polisi wetu wako makini, kuna kosa lazima atakuwa amefanya huyo mgombea.
tumefukuzwa kituoni tunaambiwa tufike kesho kujua kinachoendelea na kama kuna mdhamana, wanasema hawawezi kutuambia kwa sasa kwani wao wamepokea maelekezo kutoka juu..
hii nchi hatuko huru ukibisha wewe tahira..
Polisi wetu wako makini, kuna kosa lazima atakuwa amefanya huyo mgombea.
Hakuna jeshi la kipumbavu kama jeshi la polisi....siku ipo ila watu inabidi waanze kuwashughulikia. Huu ni mpango wa CCM na wwpumbavu wao. Wanajua hawapati kura yoyote. Kwa hesabu yao, wakimtoa huyo, waka wakaiba chache, basi. Mchezo umeisha. Fast jet nchi imekushinda...sank uuuuuu! Umejaza watu wapumbavu maofisini. Mnasaidiana kuharibu mali za watanzania...kuwanyanganya mali zao, elimu na viongozi wao. Nakemea nguvu zenu za kishetani kataka jina la Yesu. Mshindwe...haya mambo yawarudie watoto wenu.Polisi wetu wako makini, kuna kosa lazima atakuwa amefanya huyo mgombea.
Makini...?? Hawa waliomfananisha Kombe na majambazi na wakamuuwa leo useme makini..??? Hawa waliotawanya tumbo la Mwangosi...??? Hawa wasafirisha bangi...??? Hawa waliom'bambikia kichwa cha mtu mfanyabiashara kule Morogoro...??? Hawa waliouwa wafanyabiashara wa madini wa kule Mahenge leo useme ni makini...??!! Na hivi walivyoambawa wapige tu ni balaa sasa... Hawa waliotaka kum'bambikia mtoto wa Mengi madawa ndiyo makini...??? Hawa waliotaka kumuuwa Mwakyembe ndiyo makini..???Polisi wetu wako makini, kuna kosa lazima atakuwa amefanya huyo mgombea.
Polisi wetu wako makini, kuna kosa lazima atakuwa amefanya huyo mgombea.
Nadhani majeshi yetu hasa polisi yanaweza kuishia kama 'chemical ally' kwa kazi zao chafu namna hii wanazozifanya kwani sasa tofauti yao na muuaji huyo haipo na wanapishana kidogo na majeshi ya Hitla.
Hakutakuwa na utetezi wa kutekeleza maagizo ya wakubwa mbele ya sheria muda ukifika.
Natoa msimamo mapema, sitahitaji tume ya maridhiano kwa watu wanaofanya unyama huu wakiwa na akili zao timamu. Rai yangu kwa jamaa zao wauaji na watesi hawa, wawaonye mapema waache kutii amri haramu za mbweha waroho wa madaraka.
Wake na waume wao waachane nao haraka kwani mchuma janga hula na wakwao. Aidha kila raia mwema akomeshe na asusie ushirikiano na hawa wadhalimu wote kama vile kumkataa shetani.
Pamoja na yote hayo wanayotutenda, haki na kweli vitasimama daima.