Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Taarifa zinasema kuwa watendaji wa kata kote nchini wameendelea kupokea maagizo toka juu, kwamba wasipokea barua za kujitoa wapinzani wote kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa. Huo ni mwendelezo wa hujuma kwa uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika November mwaka huu. Wapinzani wapata njia mbadala za kuziwasilisha barua hizo kutokana na ushauri wa kisheria walioupata kutoka kwa wanasheria. Hivi hawa ccm wanahangaikia nini?