William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
- Thread starter
-
- #161
1. Salim had nothing to show.
2. Merit pekee ya Salim, ni muadilifu wa Nyerere type, he is a man of impecable integrity.
3. Mimi binafsi namuona kama too soft, ila akipata madaraka atapitia tanuru la aradite na kugeuka mgumu kama chuma cha pua.
4. Sifa nyingine ya huyu jamaa ana humulity ya ajabu, anauvumilivu wa hali ya juu na endurance isiyo mfano ya kuvumilia yote aliyozushiwa lakini amejinyamazia baada ya kujua who was behind,
5. Japo Salim is more of a diplomat than a statesman, ni afadhali kuliko uchafu uliopo.
Na Tausi Mbowe, Urambo Tabora
SPIKA wa Jamhuri ya Muungano, Samuel Sitta amesema wakati wa malumbano umeisha na sasa ni wakati wa viogozi na wabunge kushirikiana na wananchi katika kuwaletea maendeleo kwa lengo la kupunguza umasikini katika kaya zao.
Spika Sitta ambaye ni Mbunge wa Urambo Mashariki alisema hayo mjini hapa jana wakati wa hafla ya kuwakabidhi matreta aina ya 'power tiller' kwa ajili ya kilimo katika kata 12 za jimbo hilo yenye thamani ya zaidi ya Sh 100 milioni.
Akizungumza huku akishangiliwa na umati wa watu, Spika Sitta alisema kazi hiyo ni muhimu katika maisha ya wana Urambo kwa kuwa sasa wanachohitaji ni maendeleo na si suala lingine.
âNdugu wana Urambo wenzangu tunaweza kila siku kuzungumza bila mafanikio, wananchi sasa wamechoka na wanachotaka kutoka kwa viongozi wao si maneno tu wanahitaji tuwape maendeleo ili waweze kujikwamua katika lindi la umasikini walionalo na si vinginevyo,âalisema Spika Sitta.
âHivi wananchi hata kama tunaweza kujenga barabara, kuboresha miundombinu , lakini bila kipato ni kazi bure,âalisisitiza Spika Sitta huku akishangiliwa na umati huo.
Akizungumzaia kuhusu matrekta hayo, Sitta alisema matreta hayo yametolewa kwa ufadhili wa serikali ya Denmark na kwamba yatagaiwa kwa vikundi vya wanawake 38 ambapo vyenye kaya 800 zitakazonufaika kwa awamu ya kwanza ya mradi huo.
Akifafanua zaidi Sitta alisema, mara baada ya kumalizika kwa awamu ya kwanza, balozi wa Dermak atakuja kukagua mradi huo na endapo ataridhika serikali yake itatoa tena matrekta mengine kwa ajili ya awamu ya pili ambapo zaidi ya kaya 1,600 ikiwa ni mara dufu ya awamu ya kwanza zitanufaika.
âKama tunavyojua sasa kipindi cha kilimo cha alizeti kimeisha, nimeagiza matrekta haya yatumike katika shughuli nyingine za maendeleo badala ya kusubiri kilimo cha alizeti na karanga pekee,â aliongeza.
Alisema matrekta hayo yana uwezo wa kufungwa pampu na pia yana uwezo wa kutumika katika kilimo cha umwagiliaji hivyo kusaidia mpango wa serikali wa kilimo kwanza kwa vitendo.
- Mkuu jaribu kuheshimu taifa, kama huna cha kuchangia kuhusu masilahi ya taifa basi waachie wanaoweza,
- Na ninaomba nikukumbushe wewe na wengine wote kwamba mimi ni mwanachama mkereketwa wa CCM, sijawahi kutokwua na msimamo wala kuwa neutral katika maisha yangu huku Duniani, ninaamini kwamba chama cha CCM hakina tatizo lolote, isipokuwa tuna viongozi wachache wabovu ambao demokrasia inahitaji tuwarekebishe ili waweze kurudi tena kwenye mstari.
- Now back to the ishu ni kwamba kwa mawazo na maoni yangu ufisadi, ndio hasa tatizo kubwa linaloliangamiza taifa letu, ninaamini kwamba tukiweza kuuthibiti ufisadi, yaani kuwashughulikia viongozi wezi wa mali za taifa, yaani za wananchi basi taifa letu litafanikiwa sana katika mbio zetu za kusonga mbele. Na the only way foward ni kukazania utawala unaoheshimu sheria kwanza kabla ya anything.
- Nafasi ya Rais kwa sasa ninaiacha wazi mpaka nitakapojua wanaoiwania kutoka vyama vyote ndio tutasema wazi msimamo wetu, ingawa for now tunaweza ku-speculate na kushauri pia nani anayefaa, lakini tutasema msimamo wetu kwa wagombea walioko kwenye nafasi tayari na wale walioonyesha nia ya kutaka kugombea.
- Na kila member hapa JF, anakaribishwa sana kutoa maoni yake kuhusu nani anatufaa kiuongozi katika taifa letu.
Respect.
FMEs!
- Mkuu Pasco, heshima mbele sana unasema hizi ndizo sifa za Dr. Salim aweze kupewa uongozi wa juu hasa urais? Au kuna zingine zaidi umeziacha?
- Ataweza kweli kupigana na ufisadi huu uliokithiri Tanzania?
Respect.
FMEs!
- Mkuu Pasco, heshima mbele sana unasema hizi ndizo sifa za Dr. Salim aweze kupewa uongozi wa juu hasa urais? Au kuna zingine zaidi umeziacha?
- Ataweza kweli kupigana na ufisadi huu uliokithiri Tanzania?
Respect.
FMEs!
safi sana
- Mkuu Pasco, heshima mbele sana unasema hizi ndizo sifa za Dr. Salim aweze kupewa uongozi wa juu hasa urais? Au kuna zingine zaidi umeziacha?
- Ataweza kweli kupigana na ufisadi huu uliokithiri Tanzania?
Respect.
FMEs!
- Mkuu Pasco, heshima mbele sana unasema hizi ndizo sifa za Dr. Salim aweze kupewa uongozi wa juu hasa urais? Au kuna zingine zaidi umeziacha?
- Ataweza kweli kupigana na ufisadi huu uliokithiri Tanzania?
Respect.
FMEs!
- Saafi sana, this is what I am talking about!
Respect.
FMEs!
FMES said:- Ninasema Tanzania tunao watu ambao wakipewa nafasi wanaweza kuumaliza ufisadi in one month, I mean Mramba na Yona walipoenda Rumande kama Rais wetu angeshikilia pale pale na kukusanya na wengine wallahi huu mzizi wa ufsadi by now ungekua kalasi!
- Ninasema hivi regardless ya impact ya mjadala huu kwa taifa, atleast wananchi watasutwa na nafsi zao kila watakapopingana na mawazo yetu kuhusu nani anafaa na nani hafai kuhusu uongozi bora wa taifa letu, ndio maana leo ukiweza kufukua BCS na mwanzo wa JF, utagundua hakuna jipya yote tuliyasema mapema sana, sasa ni uamuzi wa wananchi kutusikiliza au kuwasikiliza mafisadi, lakini tutasema wazi viongozi wanaotufaa na wasiotufaa kwa masilahi ya taifa letu.
Respect.
FMES said:
FMEs!
Hivi mkuu una allergy na jina la Dr Salim? Ina maana umahiri wako wote huu wa kuchambua mambo na madata kedekede unataka kusema kuwa hujui sifa za salimu kama kiongozi?
Nimefuatilia ule mjadala ulioanzisha kule kwengine dhidi yake ni wazi kuwa haukuwa na nia njema kwake Salim na wala watanzania. Unadai kuwalaumu mtandao kwa machafu waliyoyafanya wakati na wewe unarudia kuyaanzisha yaleyale.
Najaribu kujiulliza ni kwanini sasa. Inaelekea kuna watu ama makundi yanaogopa kuona kuwa Salim anakuwa karibu na JK kwa kuhofia kuhatarisha maslahi yao kisiasa.
1. Salim moto wa kuotea mbali! Mngelimpa tu hilo rungu muone ambavyo angeliibadilisha nchi hii kwa manufaa ya taifa.
2. Salim MZALENDO wa hali ya juu. Salim is strict, Salim si mbabaishaji, Salim muadilifu, Salim ni kiongozi mzoefu wa kitaifa, kimataifa, na anakubalika.
3. Salim hana 'njaa' wala tamaa ya kuwa tajiri anao uwezo wa kuishi kwa alichoweza kuchuma kwa jasho lake katika utumishi wake uliotukuka wa miaka nenda rudi nje ya nchi na akiwa Waziri wa Mambo ya Nje na Waziri Mkuu mstaafu wa nchi yetu.
4. Tungempa Salim urais ni wazi kabisa angeweka maslahi ya taifa Kwanza na si vinginevyo. Salim angeliweza sana kuvaa 'viatu vya Mwalimu' kwa mtindo wa kileo unaokwenda na wakati kwa sababu anaijua dunia na Tanzania vilivyo.
FMES,
FMES,
..Raisi hashughulikii ufisadi kwa namna ulivyoelekeza kwasababu amekosa pressure ya kutosha toka kwetu WANANCHI, na WABUNGE.
[/COLOR][/U]
Mkulu FMEs heshima mbele!
Nikweli tunahitaji kiongozi atakea piga vita Ufisadi. Lakini Mafisadi"Papa na Nyangumi"wanaoifilisi nchi yetu hawafiki hata kumi. Waliobaki wote ni vibaka Uchwara na wanafisadi nchi kwa sababu ya walio juu wanafisadi.
Raisi aliye very serious haitaji zaidi ya mwaka kuisafisha nchi na uozo wa Ufisadi uliopo!
Qualities nizionazo zinafaa kwa kiongozi ajaye
1:Muadilifu ka Mwl hapa nampa Salim Ahmed Salim
2:Mwenye vision na uwezo wa kusimamia maamuzi yake ka Paul Kagame.... Namuweka John Pombe Magufuli
3) A positive dictator ,raisi mtendaji na mwenye uchungu na nchi------- Still JPM
4)Mwenye uwezo wa kuifanya IKULU yetu kuwa maali patakatifu...........JPM
5)Kuizifanya bandari, reli na barabara zetu kuwa vipaumble vyetu kwa maendeleo, ukizingatia locality yetu katika East Africa--------------JPM
6) Kusimamia mapinduzi makubwa kwenye viwanda vyetu na kuacha porojo ya kilimo kwanza --------- Saalim Ahmed Salim
7)Mwenye uwezo wa kupiga vita UFISADI-------Samweli Sita,Harrison Mwakyembe, Dr Slaa ,Zito Kabwe, Anne Kilango etc etc.
Nakamilisha kwa kupendekeza hivi;
Raisi : John Pombe Magufuli
Waziri Mkuu Salim Ahmed Salim
Waziri wa Mambo ya ndani .. DR Slaa ( regardless ya yeye kuwa mwana Chadema)
Waziri wa Nishati na Madini : Rutabanzibwa
Waziri wa Viwanda na Biashara: Reginald Mengi "msicheke jamani" creativity yake inahitajika hasa wakati uhuu wa Shirikisho la East Africa.
Mawasiliano na Uchukuzi : Mark Mwandosya.
Wizara nyingine wanaweza kupewa vijana waliopevuka kimaadili na wenye uchungu na nchi yao "so far waliopo kwenye baraza la mawaziri wa sasa wametuangusha vijana"
HAYO NI MAONI YANGU TU MKULU!
Matrekta yamekwenda...MAFUNDI wa kuyakarabati na kuyafanyia service wapo huko Urambo..??
FMES,
..Raisi hashughulikii ufisadi kwa namna ulivyoelekeza kwasababu amekosa pressure ya kutosha toka kwetu WANANCHI, na WABUNGE.
[/COLOR][/U]
1. ..uzoefu wa Salim Salim ni ktk masuala ya diplomasia tu. katika nafasi zake zote za uongozi alizopata kushika hakuna hata moja inayohusiana/inayogusa moja kwa moja maisha ya mwananchi wa kawaida.
2. ..uzoefu wake kama waziri mkuu na baadaye waziri wa ulinzi ni wa muda mfupi sana, na alitumikia hapo muda mrefu uliopita, kuweza kunishawishi kwamba anayafahamu na anaweza kuyakabili matatizo yanayoisibu nchi yetu leo hii.
3. ..tunahitaji Raisi atakayesimamia mapinduzi ya KILIMO, VIWANDA,MIUNDO MBINU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA. tunahitaji Raisi ambaye yuko capable and comfortable dealing with the details and nuances za masuala niliyoyataja hapo juu.
4. ..pia tunahitaji Raisi Mzalendo mwenye imani ktk uwezo na vipaji vya Watanzania. Raisi ambaye atahamasisha na kuimarisha wawekezaji wazalendo wa ndani.