William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,
- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!
Thaanks!
Mukulu William.
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,
- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!
Thaanks!
Mukulu William.
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,
- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!
Thaanks!
Mukulu William.
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,
- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!
Thaanks!
Mukulu William.
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,
- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!
Thaanks!
Mukulu William.
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,
- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!
Thaanks!
Mukulu William.
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,
- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!
Thaanks!
Mukulu William.
Huna pointi kwa sababu una-generalize.
Na zaidi ni kuwa wewe ndiyo unawatisha wanawake na maneno yako, na siyo Chadema.
Wanawake wote mpuuzeni huyu jamaa na mawazo yake ya hovyo.
maneno yako mazuri sana mkuu.. lakini huyu spika mpya .. kuna habari kwamba amesikika akisema hatambui kama kuna kitu kinaitwa UFISADI, fisadi anye mjuwa yeye ni yule mtu mwenye kuckuwa waume za watu .. sasa hapo sijui tumueleweje au ni dongo alilielekeza kwa mtu fulani.
Amekidhalilisha sana chama changu. na amewatia aibu wanawake wote ndani ya tzn
William good observations Sir;
Mkuu unaweza kudhibitisha haya kabla hatujaendelea na tafakari yako:
1. ...Wanaonekana wana hasira
2. ...Wakina Mama Wametishika sana..
kaka inaelekea chadema wakupa homa ya ajabu eeee.......Chadema inawaheshimu sana wanawake na tunao wengi tu kwenye uongozi wa chama, au mpaka umwone mwanamke mwenyeti au katibu ndio ujue kwamba chadema inawapa nafasi wanawake?