Elections 2010 Uchaguzi 2010: CHADEMA jifunzeni siasa za kisasa!

Apr 27, 2006
26,588
10,364
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,

- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!

Thaanks!



Mukulu William.
 
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,

- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!

Thaanks!


Mukulu William.



Huna pointi kwa sababu una-generalize.

Na zaidi ni kuwa wewe ndiyo unawatisha wanawake na maneno yako, na siyo Chadema.

Wanawake wote mpuuzeni huyu jamaa na mawazo yake ya hovyo.
 
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,

- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!

Thaanks!



Mukulu William.

maneno yako mazuri sana mkuu.. lakini huyu spika mpya .. kuna habari kwamba amesikika akisema hatambui kama kuna kitu kinaitwa UFISADI, fisadi anye mjuwa yeye ni yule mtu mwenye kuckuwa waume za watu .. sasa hapo sijui tumueleweje au ni dongo alilielekeza kwa mtu fulani.
Amekidhalilisha sana chama changu. na amewatia aibu wanawake wote ndani ya tzn
 
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,

- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!

Thaanks!


Mukulu William.

William good observations Sir;

Mkuu unaweza kudhibitisha haya kabla hatujaendelea na tafakari yako:

1. ...Wanaonekana wana hasira

2. ...Wakina Mama Wametishika sana..
 
Wewe machela,
1. Umefanya utafiti au mkeo/mpenzio ndio kakueleza anavyojisika yeye
2. inaonekana mkeo/hawalayako andanganyika kwa kofia na kanga kisha kuacha mafisadi wanavuna mabilioni ya pesa.
3. inaonekana mkeo/changudoa wako anaipenda sana sura ya chekibobu jk.

Nakushauri uwe makini sana na hao wenzi wako, ushauri wa bure
 
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,

- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!

Thaanks!



Mukulu William.

Unawezaje kujua mtizamo wa wanawake na wakati jina lako linaashiria wewe ni mwanaume?
 
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,

- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!

Thaanks!



Mukulu William.

kaka inaelekea chadema wakupa homa ya ajabu eeee.......Chadema inawaheshimu sana wanawake na tunao wengi tu kwenye uongozi wa chama, au mpaka umwone mwanamke mwenyeti au katibu ndio ujue kwamba chadema inawapa nafasi wanawake?
 
Mkuu mimi siungani sana na wewe kwa maneno yako machache ya wanawake wapewe nafasi. kama wanawake wangeegemea point yako basi kila jimbo alipogombea ubunge mwanamama basi ushindi ulikuwa dhahiri maana wao ndiyo wengi. But sikushangai kwa sababu hizo ndo propoganda na magharibi unakoishi.
CCM unayoizungumzia katika top Leadership ya Chama hakuna mwanamke hata mmoja. Washauri waanze wampe mwanamke uenyekiti wa chama kabla hujazungumzia vyama vingine
 
mi i si mwanacadema lakini hivi ccm ina wanawake wangapi katika uongozi wa juu? nafikiri all parties in tz are facing the same fate in this case. sababu za wanawake kupigia kura ccm ziko obvious. refer case ya wagombea wanwake watupu kwa nafasi ya spika.

kuwa na uke ni dili kubwa sana ndani ya ccm
 
JWTZ ndo iliwatisha raia na lile tamko lao ofcourse na pamba za FFU siku ya uchaguzi
 
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,

- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!

Thaanks!



Mukulu William.

Mkuu nadhani wazo lako ni zuri sana.

Lakini sio Chadema tu na CCM pia. CCM na Chadema so far wako sawa tu kwa upande wa chama wote hawajatoa nafasi za juu za uongozi ndani ya chama. Wanawake wanaanza kuonekana kwenye Kamati Kuu na Halmashauri Kuu.

Chadema hawana serikali (ukiacha huo mtanange wa uspika) labda wao wanaweza kutoa fursa kubwa zaidi kwa akina mama zaidi ya CCM wakipata serikali :smile:
 
William, mimi nafikiri sio kweli kwamba wanawake wengi hawakuipigia kura CHADEMA eti sababu ya muonekano wa hasira wa viongozi wa chama hicho. Kwangu mimi sababu kubwa ni ile hatua ya Jeshi kutoa vitisho vya machafuko na ile kauli mbiu ya umwagaji damu ambayo CCM waliigeuza kuwa mtaji wao wa kampeni. Kumbuka hata kule Songea JK alisema wasiwachague watakaoleta umwagaji damu kwani baada ya kuwachagua wao(wapinzani) wataleta vita na kukimbilia ulaya na kuwaacha wao wakipigana, sasa kwa kauli kama hii unategemea nini kwa mwanamke hasa hasa yule wa kijijini asiye na ufahamu wa kupambanua mambo kuwa yule atakaye leta vita ni yule aliyeko madakani ambae atakataa kuondoka na ataleta vita ili aendelee kubaki na huyu angekuwa ni CCM

Hii ni stategy ambayo CCM wamefanikiwa kwa kiasi fulani kwani binafsi nilitumia kazi kubwa sana kumconvice mama yangu kule kijijini kuondoa kasumba hii hadi akafahamu ukweli. Siku ile ya mdahalo wa Slaa ITV nilimtumia hela ili anunue petroli aweke kwenye kajenereta kake yeye na mzee waangalie ITV na waone wenyewe kama yale wanayosikia kwenye mikutano ya CCm ni sahihi hii ni baada ya ushawishi mwingi sana akakubali na believe me kipindi kilipoisha alisema huyu ndo anafaa kuwa rais na zile alizokuwa anasikia ni porojo na huyu Silaha hayuko kama vile wanavyomsema. Siku ya JK nilimwambia afanye vile vile tena na yeye mwenyewe akasema mbomna maswali ya huyu wa leo ni tofauti na yule mwenzake, mbona huyu ni kama waandishi wameandaliwa???

sasa huu ni mfano wa huyo mama mmoja tu, hebu fikiria ni mama zetu wangapi ambao hawana elimu sahihi na chanzo chao cha habari ni radio tanzania ambayo wakati wote iliifagilia CCM???? Kwa hiyo kusema CHADEMA imeshindwa sababu haina wanawake wengi kwenye nafasi za juu za uongozi sio sahihi. Wako wanawake kama Regia,Rose kamili,Kaihula,Letisi nyerere na wengine ambao walishindana vilivyo na bado wako wanawake huko waliochagua wagombea wa CCM wanaume sababu ya hizo nilizotoa hapo juu japo hawa wanjawake wenzao walikuwepo?

CCM wamekuja na sababu ya kumpiga chini Sitta kuwa walitaka bunge liongozwe na mwanamke safari hii, lakini believe me kama huyu mama akifeli kwenye kazi yake kulinganisha na spika aliyetoka basi hizi harakati za kuwawezesha viongozi wanawake will face huge dissapointment
 
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,

- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!

Thaanks!


Mukulu William.


Great Thinker Malecela,

sidhani kama umefanya analysis zako vizuri za uchaguzi uliokwisha, na hiyo tathimini yako unayoitoa ni kama vile wewe umesoma ama kuambiwa, na chanzo chako hicho hakikuwa sahihi kwa sababu kilikuwa kinakupa habari za Wanawake na Chadema tu, na wala sio vyama vingine na wanawake

1) Vyama vyote vya siasa Tanzania viko sawa kwa agenda yako hiyo ya wanawake unayoizungumzia, hakuna hata chama kimoja (Hata CCM) chenye mwanamke katika post za juu za uongozi wake, sasa hilo la Chadema sijuhi limekujaje hapo, ungekuwa fair labda ungezungumzia vyama vyote viliangalie hilo,
kwa kifupi hiyo haikuwa sababu ya Chadema kufanya vibaya

2) Viongozi wa Chadema wana hasira,
labda ungefafanua wana hasira ya nini? ama ya namna gani?, maana kuna tofauti ya hasira na uchungu, ungeniambia viongozi wa Chadema wana uchungu sana na nchi yao, wana uchungu wa haki, na wana uchungu wa kuwapa raia wote wa Tanzaznia maisha bora hapo ningekuelewa,
Huwezi kuwa na Rais kama JK, kazi ni kuchekacheka tu, hakuna seriousness ya chochote anachoongea, anachotenda wala anachotekeleza

Ndugu yangu William,
kuna sababu nyingi mno za Chadema kushindwa(Kama kweli walishindwa) uchaguzi uliopita, na hizo ulizozitaja hakuna hata moja,

nadhani swali lako labda lingekuwa ni nini chanzo/sababu ya Chadema kushindwa uchaguzi? hapo ndipo ungepata hoja ya kuanzisha, lakini kwa kifupi wewe elewa hivi

WANAOPIGA KURA NI RAIA (WATANZANIA) NA WANAOCHAGUA NI NEC/CCM/JWTZ/UWT/POLICE
 
Huna pointi kwa sababu una-generalize.

Na zaidi ni kuwa wewe ndiyo unawatisha wanawake na maneno yako, na siyo Chadema.

Wanawake wote mpuuzeni huyu jamaa na mawazo yake ya hovyo
.

- Mawazo yangu ya hovyo lakini yamekugusa mpaka umekuja kujibu mtumzima, halafu unawadanganya wengine vipi brother ha! ha! ha! ha! hivi kwa nini mkiguswa na ukweli huwa mnakuwa na hasira sana unajua mnaogopesha sana eti!


- Otherwise, ni kweli nina-genenralize kutokana sample za matokeo ya uchaguzi wa Rais, zinazo onyesha kwamba wanawake wengi sana wamempigia kura mgombea u-Rais wa CCM na pia wameulizwa katika nyakati mbali mbali za uchaguzi na kujibu hivyo!


William.
 
maneno yako mazuri sana mkuu.. lakini huyu spika mpya .. kuna habari kwamba amesikika akisema hatambui kama kuna kitu kinaitwa UFISADI, fisadi anye mjuwa yeye ni yule mtu mwenye kuckuwa waume za watu .. sasa hapo sijui tumueleweje au ni dongo alilielekeza kwa mtu fulani.
Amekidhalilisha sana chama changu. na amewatia aibu wanawake wote ndani ya tzn


- Historia yake na ufisadi yaani Spika mpya iko wazi sana na inajulikana sana, kujua au kutokujua ufisadi kwa mantiki yako wewe eti inaweza kumfanya mhusika awe au asiwe kiongozi anayefaa, bado sijaelewa hii mantiki!


William
 
William good observations Sir;

Mkuu unaweza kudhibitisha haya kabla hatujaendelea na tafakari yako:

1. ...Wanaonekana wana hasira

2. ...Wakina Mama Wametishika sana..

- Kina mama wengi waliohojiwa kuhusu upigaji wao wa kura kwenye huu uchaguzi wamesema kwamba waliogopa kwamba kutoipa CCM kura ni kukaribisha vita kutokana na hasira za ajabu zinazoonyeshwa na upande wa pili!


William.
 
kaka inaelekea chadema wakupa homa ya ajabu eeee.......Chadema inawaheshimu sana wanawake na tunao wengi tu kwenye uongozi wa chama, au mpaka umwone mwanamke mwenyeti au katibu ndio ujue kwamba chadema inawapa nafasi wanawake?


- Kama unayaamini haya uliyoandika hukuwa na sababu ya kujibu mkuu, lakini umesikika sana!.

William.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom