William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,397
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi wameipigia kura CCM zaidi,
- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!
Thaanks!
Mukulu William.
- Sasa Chadema wajifunze kuwapa nafasi za juu kina mama katika uongozi wa taifa wa chama na pia wa-soften kidogo the image ya viongozi wanaume wanaonekana wana hasira sana, inawatisha sana kina mama ni ushauri wangu wa bure tu!
Thaanks!
Mukulu William.